Katika mambo ambayo wanaume tunakosea ni kutaka kumpa hela mwanamke hata ambazo hatuna uwezo wa kuzipata.. Yani ukiona mwanamke anakwambia nataka laki 5 na anajua kabisa wewe uwezo wako ni elfu 50...
kwenye mapenzi usipokuwa makini unaweza kumpoteza mwenye mapenzi ya kweli kwa kumkumbatia mjinga mmoja kwa kujidanganya et unamvumilia atabadilika.... wakati hakuna hata kimoja alichokuambia cha...
Katika kitu sijawahi kuwa na Utani nacho ni ule wakati wa uchakataji wa Papuchi,
"Juzi nilikuwa safarini kuelekea moro Nyumbani mara moja kumsalimia mzee na bi mkubwa,
bahati nzuri sasa wakati...
Katika maisha kuna kupata na kukosa ukipata utapenda umfurahishe mke wako kwa kumpa mahitaji yake mbalimbali hata kumnunulia gari ili apendeze zaidi na wewe ujiskie vizuri kwa kumuona ana furaha...
Hii nimejilidhisha mu mwenyewe na pia na nyie mtakuwa ni mashahidi wa hili.Wanawake huwa hawafuti namba za simu za wapenzi wao hata kama mliachana miaka miwili iliyopita.Au hata kama ulimtongoza...
Ikitokea mpenzi wako unayempenda sana,na umemhonga vitu vingi sana kwake;mwisho wa siku unakuja kukuta kwenye simu ameku-save kwa jina la 'mburura' au 'kamongo',utachukua hatua gani?
Katika sayari hii ya dunia kuna baadhi ya watu wanakwambia mapenzi ndiyo yanayoiendesha dunia, hii ni kwa sababu asilimia kubwa ya watu wengi wametawaliwa na mawazo ya kimapenzi.
Pamoja na...
Kademu ka beki 3 nakaelewa kinoma lkn hakana simu, kameni promise tukutane chini ya mwembe ,,,, nimesubir sana mpk nimedondokewa na maembe hakajaja , sjui nikatafutie simu , ila hata sielew kama...
MAMA NA MWANA
Gozbert ; Mama wamenifukuza shule
Mama : Hivi ndo nimetoka kijiji cha Mkomanzila kwa rafiki yangu kuchukua pipa nikoroge pombe, nikiuza nitakutumia mwanangu. Kazana kusoma
Gozbert...
Ndugu zangu.
Unawezaje kudeal na mwanamke Ambaye!
1.Anaweza akakosea yeye, Na kamwe hata usipomuuliza Hawezi kujielezea kwa nini kakosea Hata kama anajua umekasirishwa na makosa yake...
Leo naomba kuuliza kwa wanandoa, instagram, facebook n.k. zina mchango wowote kwenye kuongezeka wimbi la talaka?
Ewe mwanamume unajisikiaje pale mkeo anapoposti picha kavaa kisuruali cha kubana...
Kwa kawaida tabia za mtu hazijifichi, awe mwanamke au mwanaume. Tatizo tulilonalo binadamu ni kwamba huwa hatuko tayari kuukubali ukweli kwa kujidanganya kuwa tumezama kwenye mapenzi. Mungu ana...
Wakuu habari ya leo. Nina imani afya zenu Ni njema kabisa. Mimi si mwanachama hai wa jukwaa hili, lakini leo nimeona nitoe mchango wangu kama njia ya kuboresha mahusiano.
Kuna tabia ambazo kwa...
Kwa mfano ikitokea hicho kiungo chako unachokipenda na kukupa furaha duniani...kikajeruhiwa kwa ajali yoyote ile,na madaktari wakakuambia hakitakuwa kinafanya kazi tena(hutoweza kufanya sex);baada...
Ni kisa cha kweli, tulikutana ukubwani marafiki watatu tulisoma pamoja shule ya msingi.
1. Ni nesi mkunga, ameajiriwa hospitali ya serikali.
2. Police traffic ni mja mzito na amelazwa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.