Ukiomba Hela Tumia Akili

Ukiomba Hela Tumia Akili

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,170
Reaction score
43,972
Katika mambo ambayo wanaume tunakosea ni kutaka kumpa hela mwanamke hata ambazo hatuna uwezo wa kuzipata.. Yani ukiona mwanamke anakwambia nataka laki 5 na anajua kabisa wewe uwezo wako ni elfu 50 ndugu yangi Usivimbee unazoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani hapo unatafutiwa sababu uachwe wewe boyaa unakomaaa tuu[emoji24][emoji24][emoji24] So ukiombwa hela think smart kabla ya kutoaa... amekuomba laki 5 wewe unauwezo wa kumpa elfu 50 either umpe elfu 50 au MUACHEEE AENDEEE..

WEEKEND NJEMA[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Screenshot_20190803-121454_WhatsApp~2.jpeg
 
Hiyo mbinu wasitumie kwa baharia maana itakula kwao baharia nko tayari kuzama CRDB nitimize haja zake naye atimize zangu
 
Nikishakuchoka ndo hicho uwa nafanyaga.
Kuna mtu unaona kweli ana deserve kweli kupewa kiasi fulani cha fedha hata kama ni kikubwa...

Lakini kweli eti felister nae anataka apewe laki 5..labda elfu kumi tu
 
Hiyo mbinu wasitumie kwa baharia maana itakula kwao baharia nko tayari kuzama CRDB nitimize haja zake naye atimize zangu
Hapo keyword ni kuachwa..., meaning ulishampata ila anataka kukuacha.., sio kwamba bado unamtafuta
 
Back
Top Bottom