zisome alama za nyakati

zisome alama za nyakati

mama rei

Senior Member
Joined
Jul 31, 2019
Posts
134
Reaction score
168
kwenye mapenzi usipokuwa makini unaweza kumpoteza mwenye mapenzi ya kweli kwa kumkumbatia mjinga mmoja kwa kujidanganya et unamvumilia atabadilika.... wakati hakuna hata kimoja alichokuambia cha ukweli kuanzia ahadi zake na mipango yake kwako
soma alama za nyakati before it is too let mapenzi ya kulia lia waachiwe ne comers a.k.a wanafunzi
 
Nature ya maisha tumeumbwa binaadam kama vidole vilivyo! Unaona vidole vyako kati ya kidole na kidole kuna nafasi right? Ukichukua vidole vya mkono mwingine hua vinakaa hapo kwenye hiyo nafasi.
Hii ina maana gani Mama rei?
Inamaana kwamba tumeumbwa tukiwa na Compatibility (Kuendana)

Inatubidi tubebeane mizigo haijalishi ni mizito namna gani, Mpaka umekubali awe mpenzi/mchumba wako basi inabidi uwe Compatible, umbebee mwenzako mizigo sio kuanza kukashifu viumbe/binaadamu wenzako kua ni Mjinga mmoja!
 
kubebeana.mizigo inaruhusiwa ila isiwe katika kiwango cha muhusika kukatiliwa nafsi yake/ kushindwa kuinjoi maisha maana.sometime unambebea mwenzio mizigo ya kukupelekea kupata stress
n:b mjinga.sijamaanisha wote.ni wale wasiojielewa only
Nature ya maisha tumeumbwa binaadam kama vidole vilivyo! Unaona vidole vyako kati ya kidole na kidole kuna nafasi right? Ukichukua vidole vya mkono mwingine hua vinakaa hapo kwenye hiyo nafasi.
Hii ina maana gani Mama rei?
Inamaana kwamba tumeumbwa tukiwa na Compatibility (Kuendana)

Inatubidi tubebeane mizigo haijalishi ni mizito namna gani, Mpaka umekubali awe mpenzi/mchumba wako basi inabidi uwe Compatible, umbebee mwenzako mizigo sio kuanza kukashifu viumbe/binaadamu wenzako kua ni Mjinga mmoja!
 
Huwa naangalia attitude. Itakupa picha alis kuwa huko pemben mambo yatakuwaje. Nikiona kuna dalili ambazo sizo. Huwa namuonyesha mlango hapo hapo.
kwenye mapenzi usipokuwa makini unaweza kumpoteza mwenye mapenzi ya kweli kwa kumkumbatia mjinga mmoja kwa kujidanganya et unamvumilia atabadilika.... wakati hakuna hata kimoja alichokuambia cha ukweli kuanzia ahadi zake na mipango yake kwako
soma alama za nyakati before it is too let mapenzi ya kulia lia waachiwe ne comers a.k.a wanafunzi
 
Pole sana kama yamekukuta...

Ni kweli usemayo... tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...



Cc: mahondaw
 
Sasa ndio kampenda atafanyaje? Au siku hizi ampendi tena bali mnaangalia yoyote muoaji
 
Kweli kabisa. Changamoto ni kumjua huyo mwenye mapenzi ya kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom