Kwa kipindi nilichokaa hapa Mtwara 'nimeshatembea' na wake za watu zaidi ya 20 sasa imagine nikimaliza miaka 2 sijui itakuwaje!
Wanawake hawa ni rahisi mno, sijui tatizo ni nini? Nilivyofika hapa...
Habar za saa izi
Mimi nikijana wa miaka 33 na ninamke, miaka 4 sasa na nina mtoto wa miaka 2 mambo yamebadilika bada ya kudai kwamba naithamanisha familia yangu kuliko yake akawa anacukizwa kuona...
STORY: SHEMEJI MONICA
MTUNZI: Nira Saire
SEHEMU YA KWANZA
?????????????????????
James alikuwa ndo kwanza amemaliza limu yake ya kidato cha sita, akiwa anangojea matokeo akaamua...
Wakati Polisi na uongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (TANAPA) ukisema askari wa hifadhi ya Taifa ya Ibanda-Kyerwa, Frank Mariki (30) aliyefariki muda mfupi baada ya kumfumania mpenzi wake...
Igwee..
Kwanza samahani wa wanandoa(hasa wanaume) ulio kwenye huu upumbavu wa kutokutamba mipaka ya ndoa.
Imetokea zaidi ya mara moja nimeona wanaume(wanaojiita baba wa familia) wanashindwa kutoa...
Iko hivi, jana jioni baba mwenye nyumba alinialika kwa ajili ya kinywaji, tukaenda kwenye ka grosari hapa mtaani, baada ya bia mbili tatu akanisimulia kuwa kamgegeda beki tatu wangu. Niliigiza...
Jamani wanaume tulio kwenye ndoa, ukiwa umetoka out na mkeo ghafla anapita msichana mrembo huwa mnafanyaje ili mkeo asijue kama umemtamani huyo mrembo? maana mi juzi yamenikuta sitosahau maishani...
Baada ya kugegeda yule dada anayemiliki HALIYA TAKO LA NYANI nimeendelea kupambania ndoto zangu ikiwemo kuja kugegeza hawa madada wahudumu wa kwenye ndege. K
wanza katika ukoo wetu wa LUHAHULA...
Wakati tunaingia kwenye mahusiano tunahurusu sana moyo kuchukua nafasi kubwa kuliko akili zetu,matokeo yake ni pale unaeza kuta watu wanadiriki hata kusema kuwa mtu kalishwa limbwata,ila ukweli ni...
WanaJF mlioko Dar es salaam naomba mnitoe upweke.
Mwenye kuwa tayari kutaka kunitoaga upweke, aje PM.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Gharama za kula na kunywa nitajipigapiga mimi mwenyewe.
Ukitoa Vipimo vya DNA ni kwa jinsi gani unaweza kutambua kwamba mtoto huyu siyo wako umesingiziwa au kwa kiswahili wanasema umepigwa ?
Couze kuna chalii sina imani nae wakuu.
Ile umeshakata zako ticket mapema mwenyewe...siku ya safari unaamka na lile giza la chumbani...linakudanganya...bado bado...
Unaenda kuangalia saa inakuambia ni saa 3 asubuhi...unafikicha macho...
Polen na majukumu ya kulijenga taifa kuelekea uchumi wa viwanda
Nirejee kwenye maada mm nina mpenzi wangu tunaishi mikoa tofauti tangu niwe nae kwenye relationship tuna miaka miwili na yeye huwa...
Kama mtu atajaliwa kuishi miaka mingi,uzee hauepukiki.Ni kipindi ambacho mzee atahitaji furaha na faraja kutoka kwa ndugu na jamii inayomzunguka.Kunakuwepo na changamoto hasa pale jamii/ndugu...
Nawasaaalimuu Waungwana
#Umuhimu wa kuandaana kabla ya tendo la ndoa.
MWANAUME NA MWANAMKE WANATOFAUTIANA KWA KIWANGO KIKUBWA SANA HASA inapokuja KWENYE HISIA ZA mapenzi.
Mwanaume akifikiria tu...
Kwa Nini Kila siku unakimbiwa na wanawake???
Wewe mwanaume unayesoma hapa, jiulize; huwa unadumu na mwenzi wako? Unaachwa au kukimbiwa baada ya muda mfupi? Kama jibu ni ndiyo, hapa utapata tiba...
1. Wakati wapo wanawake wapo single...kwa namna tofauti tofauti...Iwe SINGLE MOTHER au SINGLE LADY...ila tu hajapata bahati au neema ya kuolewa...na wengine MASHAA ALLAH wamejihifadhi uchi wao...
Habari jaman ,naombe elimu juu ya mtu kuweza kupata mawasiliano yako,ambayo umewasiliana Mfano sms za kawaida na whasup, na nawezaje kuzuia asipate mawasiliano yangu, watu wa it mnisaidie juu ya hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.