Nimekuwa nikishuhudia na hata kuamua na kushauri ugomvi wa wanandoa wengi lakini mara nyingi sababu huwa jambo dogo, la kijinga na hata lisilo na mashiko.
Yaani mpaka unajiuliza hili ndilo...
Mzazi A
Mwanangu sasa hivi umeshakuwa hivyo kuwa na makini na Wanaume dunia imeharibika. Mambo mengine atakuambia Mama yako au Shangazi zako ila Mimi Baba yako naishia hapa.
Mzazi B
Wewe Mtoto...
"Mwanangu ukitaka kufurahia maisha ya ndoa, katu usiwe na mke mmoja tu".
Kisha akendelea , mke mmoja atapambana na wewe kila siku ila ukiwa na wawili watapigania wao kwa ajili yako kila siku...
Leo naungana na wengine dunia walioumizwa na wanawake ambao waliwahudumia lakini mwisho wa siku waliachwa bila ya kuona Tone la huruma kutoka kwa wenza wao wa zamani.
Nasema haya kwa huzuni...
Mpo?????ray nimerudiiiii tena nimejaa teli mpo tyityiiiiii??
Mambo ni mengi muda ni mchacheeeeee
Niliwamissoooo leo nikaona nipitye hapa niwasabahiii hehee mapenzi pesa babu
Yaani n hviii//////...
Mrembo fulani hivi mwembamba mrefu
Majibu ya kunde, mweupe 100%, black beauty
Mcheshi, mtu wa dini heshima kwa kila mtu, ajue jinsi ya kucare, msomi au awe na kitu cha ziada maishani mwake basi...
Habari wadau wa jukwaa pendwa
Uchunguzi nilioufanga kuhusu ndoa nimebaini kwamba ndoa za Mitala za kiislam yaani za mke zaidi ya mmja zinadumu na zinafuraha kuliko ndoa za kikristo za mume mja na...
Naam habari za usiku wakuu
Leo nataka nihitimishe kisanga kilichotokea kule Kibada. Si mbali sana na pale anapoishi Masanja Mkandamizaji, kwa wanaofaham maeneo ya Kibada.
Mwanzo wa mwezi huu...
Huyu dada hapa mtaani kwetu huku Kwamtogole aliolewa na mume mchacharikaji mashallah, walijenga nyumba, mwanaume alianza biashara, alinunua dalala, nyumbani mboga si saba lakini mbili at tatu...
Huyu binti alianza shule ambayo alijikuta ni mweusi peke yake darasani. Sina uhakika kama alidhihakiwa na wenzake. Lakini alimuuliza mama yake alipofika nyumbani ni kwanini yeye yuko tofauti na...
Hope weekend imeanza vyema wadau, nianze moja kwa moja kama title inavyodai.
Unapopata mpenzi au tayari unamtambua kama mwenzi wa maisha yako kwa sababu tayari mpo kwenye ndoa,
unapaswa...
Na. Robert Heriel.
Usichoke kusikia Maonyo ya Baba yako. Mimi ndiye nikupendaye. Naye Mungu atakupa maisha yenye furaha na amani siku zote za maisha yako.
Hakuna maisha mazuri bila kuwa na mke...
Maisha magumu bna ila we live once atii
Mimi bwana sina dhambi nyingi kiivo,sinywi pombe Wala sigegedwi kwaiyo nataka nienjoy maisha kwa kusafiri.
Sasa nataka nianze safari zangu hapa hapa...
Habari za mihangaiko wana jf. Mimi mgeni humu,nisiwachoshe sana. Mimi ni kijana umri miaka 23 nimetokea kumpenda binti hapa mtaani kwetu, nimemweleza hisia zangu kuwa nampenda lakini hakunijibu...
Nikiwa peke yangu kitandani na kiubaridi kimenifanya nikumbuke maisha ya kimapenzi niliyokuwa nayo miaka ya nyuma. Kuna maeneo ambayo mpaka leo ninajiuliza nilikuwa nawaza nini mpaka kugegeda...
Habari zenu wana jukwaa hili la mapatano;
Nimekuja kwenye jukwà hili niweze kumtafuta Mwanadada anae jiheshimu, msafi na yupo tiar kwa mahusiano ya ndoa kwa "baadae kidogo tu"
Nina miaka 31 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.