Mwanamke Kaidi.

Mwanamke Kaidi.

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,103
Ndugu zangu.

Unawezaje kudeal na mwanamke Ambaye!

1.Anaweza akakosea yeye, Na kamwe hata usipomuuliza Hawezi kujielezea kwa nini kakosea Hata kama anajua umekasirishwa na makosa yake?

2.Ukijaribu Kumuuliza pia Anajibu Kikaidi ama ndo Anakupiga maneno makali zaidi ya mwanzo.

3. Anayeamini Katika Mawazo yake, na Ana amini Maamuzi yake hayana doa.

4.Anayeamini Anaweza kufanya Mambo yake mwenyewe.

Familia inahitaji Roho ya Chuma.
 
Kwanza unatakiwa uwe "Mwanaume wa shoka" toka mwanzo ili ajue kua wewe ni kidume na sio wakuchezewa hovyo.Mwanamke jeuri anakua kisha kusoma toka mwanzo na kugundua kua wewe ni dhaifu,hua wana test na akiona panaingilika basi anakutawala,siku akikujibu utumbo,piga kofi moja mpaka asikie sauti ya Inzi sikioni,hatorudia tena huyo.
 
Kwanza unatakiwa uwe "Mwanaume wa shoka" toka mwanzo ili ajue kua wewe ni kidume na sio wakuchezewa hovyo.Mwanamke jeuri anakua kisha kusoma toka mwanzo na kugundua kua wewe ni dhaifu,hua wana test na akiona panaingilika basi anakutawala,siku akikujibu utumbo,piga kofi moja mpaka asikie sauti ya Inzi sikioni,hatorudia tena huyo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dats Ma Mane!!! Good job 👏👏👏👏👏
 
Kwa mtazamo wangu mwanamke hadi kufikia kukujibu shit au kukukera bila kuwaza ujue habari yako imeisha.

Umemchekea sana na kashakuona dhaifu juu yake. Dawa ni aidha kumtia mbata kama recovery plan hasa kwa mtu ambaye hutaki au ngumu kumuacha au ku exit uhusiano aende zake akafie mbele huko.
 
Bebi bana duh[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahio ukimuudhi mtu makusudi asiposema imekula kwake?
Hapana bebe, kwanza siwezi kumuudhi mtu yeyote kwa makusudi. Pia kuna makosa unaweza ukafanya kwa kutokujua kuwa umemkosea mtu, vilivile kuna ile umekosea unajua mtu amechukulia poa amesamehe juu kwa juu kumbe jitu limenununa hehehe jinunishe mpaka upasuke dadeki
 
Hapana bebe, kwanza siwezi kumuudhi mtu yeyote kwa makusudi. Pia kuna makosa unaweza ukafanya kwa kutokujua kuwa umemkosea mtu, vilivile kuna ile umekosea unajua mtu amechukulia poa amesamehe juu kwa juu kumbe jitu limenununa hehehe jinunishe mpaka upasuke dadeki
ubaya mie sinaga mambo ya kuficha hasira ama kumezea kero moyoni. Ndio kuna watu wanasema nina gubu ila ni vile lazma nikuchane ukiniboa.
 
Ndugu zangu.

Unawezaje kudeal na mwanamke Ambaye!

1.Anaweza akakosea yeye, Na kamwe hata usipomuuliza Hawezi kujielezea kwa nini kakosea Hata kama anajua umekasirishwa na makosa yake?

2.Ukijaribu Kumuuliza pia Anajibu Kikaidi ama ndo Anakupiga maneno makali zaidi ya mwanzo.

3. Anayeamini Katika Mawazo yake, na Ana amini Maamuzi yake hayana doa.

4.Anayeamini Anaweza kufanya Mambo yake mwenyewe.

Familia inahitaji Roho ya Chuma.
Mwanamke hakosi wewe punguani.
 
Kwanza unatakiwa uwe "Mwanaume wa shoka" toka mwanzo ili ajue kua wewe ni kidume na sio wakuchezewa hovyo.Mwanamke jeuri anakua kisha kusoma toka mwanzo na kugundua kua wewe ni dhaifu,hua wana test na akiona panaingilika basi anakutawala,siku akikujibu utumbo,piga kofi moja mpaka asikie sauti ya Inzi sikioni,hatorudia tena huyo.
Ni kweli ulichosema na muhimu mueleze mapema kuwa hivi vitu unavofanya sipendi na siku akifanya unamzaba kofi la maana na akirudia siku nyingine unamzaba tena atarudi tu kwenye reli

Ndio kanuni ninazoishi nazo mie. Kuna jicho nikikuangalia kama ulikuwa unaongea pumba kinachofuata ni makofi na ndoa yangu inaendelea vizuri tu
 
Sasa usiposema kuwa umejasirika mimi nitajuaje? Nachukia sana watu wanaojinunisha wakikosewa badala ya kusema. Halafu kuna dhambi gani mwanamke akiamini kuwa anaweza kusimama mwenyewe?
Ukishaolewa au ukishaoa kila kitu mnatakiwa mshirikiane. Ukiona unaanza kujitenga na kuona unaweza kufanya jambo peke yako bila support ya mwenza wako hata ya mawazo au go ahead hilo ni tatizo.
 
Pole sana mkuu, fanya yafuatayo ili kwenda nae sawa;-
1. Kama dini inaruhusu ongeza mke wa pili.
2.Kama dini inataka mke mmoja, hizo tabia alizo nazo zifanye mara mbili yake uwe nazo wewe, kasoro no 2 (tumia vitendo zaidi)
3.Kama ni mchumba hiyo ni dalili ya mvua (kama utaamua kutembea kwenye mvua chagua cha kujikinga kitakachokufaa)
4.Kama ni mchepuko piga chini, huwezi kufika nae Kaanani (furahani)
5. Kama anakuhudumia na kujihudumia kwa kila kitu kua mpole.

Nb;-
Kumbuka kutumia AKILI.
Asipobadilika nunua gunia nne za mkaa na petroli Lita 10 weka ndani bila kusema wala kufanya chochote.
 
I dont play games na mwanamke wa hivyo mara nyingi akinionyesha jeuri . Namuonesha mlango wa kutokea.
Tena aende wala sifikirii mara mbili.
Kwa mtazamo wangu mwanamke hadi kufikia kukujibu shit au kukukera bila kuwaza ujue habari yako imeisha.

Umemchekea sana na kashakuona dhaifu juu yake. Dawa ni aidha kumtia mbata kama recovery plan hasa kwa mtu ambaye hutaki au ngumu kumuacha au ku exit uhusiano aende zake akafie mbele huko.
 
I dont play games na mwanamke wa hivyo mara nyingi akinionyesha jeuri . Namuonesha mlango wa kutokea.
Tena aende wala sifikirii mara mbili.
We J wewe, you don't give a second chance?
 
Kwanza unatakiwa uwe "Mwanaume wa shoka" toka mwanzo ili ajue kua wewe ni kidume na sio wakuchezewa hovyo.Mwanamke jeuri anakua kisha kusoma toka mwanzo na kugundua kua wewe ni dhaifu,hua wana test na akiona panaingilika basi anakutawala,siku akikujibu utumbo,piga kofi moja mpaka asikie sauti ya Inzi sikioni,hatorudia tena huyo.
Naaaam ushauri muruha kabisa huu..
 
Back
Top Bottom