Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,406
Ni kisa cha kweli, tulikutana ukubwani marafiki watatu tulisoma pamoja shule ya msingi.
1. Ni nesi mkunga, ameajiriwa hospitali ya serikali.
2. Police traffic ni mja mzito na amelazwa kwenye wodi ambayo huyu nesi ndiye nesi msimamizi
3. Mimi mpika chapati maarufu wa Kwamtogole.
Traffic Police ana bwana ambae ana mabasi hiaice sijui, unaweza kuona urafiki ulitokea wapi, na ndiye mwenye ujauzito wake. Kila siku anakwenda hospitali na asipoweza anatuma mmoja wa madereva kupeleka mahitaji.
Nesi alipata day off, akasema anakwenda mjini, shost polisi alimuomba apitie kwa bwana wake akamchukulie khanga na night dress kabatini kwani yule mwanaume anasahau kuvileta hospitali.
Nesi alichelewa sana kurudi, aliporudi amekwenda kumuona mgonjwa lakini hana khana wala night dress, anasema yule mwanaume hakumkuta lakini inabidi arudi kesho yake kwani amesahau handbag yake.
Ilipofika hapo niliaga na kuondoka kwani nilimpelekea mgonjwa chapati.
1. Ni nesi mkunga, ameajiriwa hospitali ya serikali.
2. Police traffic ni mja mzito na amelazwa kwenye wodi ambayo huyu nesi ndiye nesi msimamizi
3. Mimi mpika chapati maarufu wa Kwamtogole.
Traffic Police ana bwana ambae ana mabasi hiaice sijui, unaweza kuona urafiki ulitokea wapi, na ndiye mwenye ujauzito wake. Kila siku anakwenda hospitali na asipoweza anatuma mmoja wa madereva kupeleka mahitaji.
Nesi alipata day off, akasema anakwenda mjini, shost polisi alimuomba apitie kwa bwana wake akamchukulie khanga na night dress kabatini kwani yule mwanaume anasahau kuvileta hospitali.
Nesi alichelewa sana kurudi, aliporudi amekwenda kumuona mgonjwa lakini hana khana wala night dress, anasema yule mwanaume hakumkuta lakini inabidi arudi kesho yake kwani amesahau handbag yake.
Ilipofika hapo niliaga na kuondoka kwani nilimpelekea mgonjwa chapati.