Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,403
Yaani watu wamekaa kwenye ndoa miaka 30,40 au 50. Wamezaa na kuozesha. Mara nyingi mama anaitwa kwa majukumu ya kumhudumia mzazi.
Akiwa pale ndiyo mnagundua mama ana matatizo ya afya. Mkienda hospitali daktari anagundua ni matatizo sugu ya moyo, kisukari au hata TB.
Daktari anasema awe kwenye uangalizi wa karibu kwenye clinic yake. Mnarudi nyumbani na kumfahamisha mzee. Mnamueleza kabisa kuwa anaweza akaja kukaa na nyinyi, amasema hawezi kuacha mifugo yake na mazao
Mama anatibiwa kwa miaka miwili, afya inaimarika anarudi kwake. Akifika huko mzee ana mtoto wa miezi miwili na mama anaambiwa ni damu yangu.
Akiwa pale ndiyo mnagundua mama ana matatizo ya afya. Mkienda hospitali daktari anagundua ni matatizo sugu ya moyo, kisukari au hata TB.
Daktari anasema awe kwenye uangalizi wa karibu kwenye clinic yake. Mnarudi nyumbani na kumfahamisha mzee. Mnamueleza kabisa kuwa anaweza akaja kukaa na nyinyi, amasema hawezi kuacha mifugo yake na mazao
Mama anatibiwa kwa miaka miwili, afya inaimarika anarudi kwake. Akifika huko mzee ana mtoto wa miezi miwili na mama anaambiwa ni damu yangu.