Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mimi:Kesho ukimaliza pepa una ratiba gani Yeye:Naenda Bagamoyo kwa...
6 Reactions
117 Replies
10K Views
Mabaharia wenzangu nahitaji dua zenu niko ghetto nataka nianze kumgegeda mke wa mtu hapa. To be continued...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habar za wakati huu ndugu wanajukwaa,sote tunafaham hali iliyopo kwenye jamii yetu ya Kitanzania na Duniani kote Wapo ndugu zetu,jamaa zetu,wadogo zetu,kaka zetu,Mama zetu,jirani zetu,wajomba zetu...
3 Reactions
33 Replies
6K Views
Sisi wengine huku ughaibuni idi imetukuta na upepo mkali na dalili ya mvua kubwa, Watabiri wa hali ya hewa wametuonya ni bora kubaki nyumbani kama huna shughuli muhimu ya kufanya huko nje. Sasa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakati mnaanza mahusiano yenu mlikubaliana iwe siri kubwa sana,asijue mtu mwingine yeyote isipokuwa mtandao na Mungu peke yake,mliamua kufanya hivyo kwasababu mahusiano yenu yangejulikana...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Hivi kwanini unakuta wanaume ukikaa naohupenda kuongelea debate za ngono?? Wanawake wenye tako wakipita ndio shida kabisa kwanini lakini badala yakuwaza vitu positive
4 Reactions
30 Replies
3K Views
uzi huu ni mahususi maana thread za wapendao kwa kipindi hiki cha valentine zimezidi sana. Sijui wanaturingishia! ENWEI: itakuwa labda mapenzi yamewanogea (kwa ambao hamyajui yalivyo...
40 Reactions
664 Replies
34K Views
Naomba tujadili hapa Mwanamke upata changamoto za kuolewa kuanzia miaka mingapi?
1 Reactions
31 Replies
4K Views
assalam wanajamvi! . . kuna hili swala la uke mnato au uke mpana. hivi kuna uhalisia kuwa uke mpana unatokana na mwanamke kufanya au kuingiliwa sana kimapenzi?
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu wa hiari. Leo naamua kuandika uzi huu ikiwa kama kushauri tu Kwa watu ambao wako au wanatarajia kuingia katika ndoa. Watu wengi sikuhizi wanasema ndoa hazina raha na wala...
23 Reactions
84 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu, kuna jamaa yangu mmoja tuko jirani nae ametokea kumpenda dada mmoja muuza duka, lakini anashindwa kufunguka kwake kila akimuona hata wakikutana njiani hakuna chochote...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Jamani mi mgeni humu natafuta mchumba Arusha mjini mweupe mnene kias mrefu,awe nakazi au hana its ok mi mwenyew nimejiandaa nipo serious sitanii,umri wangu 33 years elimu dip Nina ksz ya kipato kidogo
0 Reactions
16 Replies
47K Views
Mheshimiwa wetu anataka kupunguza vijana kupigwa hela zisizo na sababu
0 Reactions
4 Replies
796 Views
FINAL UPDATE. Nimeelemewa, nawashukuru sana kwa kuchukua mda wenu na kusoma bandiko langu. PM zimekuwa nyingi mnoooo, nashindwa hata nianzie wapi, I didn't see this coming at all. Nilijua...
22 Reactions
280 Replies
19K Views
Habarini! Binti kamaliza kidato cha NNE 2017. Kakosa Wa kumuendeleza..ni yatima..ana kiu ya kusoma sn sn. Anakata tamaa ya kusaidiwa. Anamvaa mtu flan mwenye vyake na wake pia na watoto si chin ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Umeolewa na mume wako mpenzi, mmebarikiwa kupata watoto, kumbe mume ana nyumba ndogo na huko amepata watoto na anawahudumia vizuri tu. Siku imetokea ameaga dunia, msibani wakati mke anamajonzi ya...
8 Reactions
49 Replies
5K Views
Mie nipo hapa kusema asanteni wakina dada Kwa kutupatia tamu.Ila kusema ukweli jamani,siku hizi wadada wanatusaidia sn kwny suala la kutupatia papuchi.Hapa nilipo nipo hoiii,nahofia afya yng Kwa...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Ndoto ya babu marehemu..ujumbe kupitia mzimu wake! Taarifa ya ndoto maono kuhusu yuti yai ya bulangata Kwamba babu alikuwa na watoto wengine wane... Hawa ni nje ya ndoa kwa mila na tamaduni za...
11 Reactions
118 Replies
10K Views
Katika mapenzi kila mmoja amekuwa na tabia ya aina fulani lakini kwa wale wanaoamini masuala ya nyota wanasema kuwa nyota hueleza tabia za mtu katika maisha...
3 Reactions
37 Replies
126K Views
Ni manengelo Anaonekana genius sana na mchakarikaji. Ana akili ya kutafuta pesa. Ni mtu mjanja sana. Sasa huyu dada/mama namkubali sana. Kama hajaolewa, aisee nitafanya kila liwezekanalo...
6 Reactions
174 Replies
14K Views
Back
Top Bottom