Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kuna sehemu nimejionea jibaba la miaka 57 linatembea na binti wa miaka 19 yaani mtoto wake kama sio mjukuu wake tena kama limeoa kabisa. Yaani limekachukua linaishi na ako katoto kwa kawaida...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Msichana Wa Kizungu Akitaka Penzi anakutizama Usoni Kisha Anakwambia " Let,s Do it Sweetie " Msichana Wa Kitanzania Sasa Akitaka penzi atakuuliza Muda Ukimjibu Utamsikia Baada Ya Nusu saa Mimi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakati mwingine tafuteni nafasi Kukaa Pamoja Ni Muhimu sana Kwa Watu Mnaopendana Mkakatana Hayo Makucha Miguuni Na Mikononi Na Kunyoana "NYWELE" Pia Kuongozana Pamoja Mkiwa Na Muda. LOVE SHOULD BE...
2 Reactions
2 Replies
843 Views
1.Kupenda usipo pendwa. 2.Swala la dini. 3.Tabia. 4.Uvumilivu na swala la maamuzi. 5.Wazazi kuto ridhia. 6.Ushauri, maoni na maneno ya watu wanao kuzunguka na mapokeo yake. 7.Uaminifu. KIPI...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za mchana wanajamii, Naombeni mbinu za kuishi na mume bahili/mchoyo. Mwanaume ni mchoyo jamani, vitu viikisha ndani atajikausha utafikiri sio yeye ndo baba wafamilia. Umeme unakatika...
11 Reactions
174 Replies
24K Views
Aman iwe nanyi Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, nashangazwa nakusikitishwa na baadhi ya wanaume kupenda mteremko, Kwa watu wa pwani si ajabu, lakini vipi wanaume wa bara? mnaojinasibu...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Perfect strangers ni muvi ambayo inazungumzia hasara za simu katika maisha ya mahusiano na maisha ya kawaida. Hii muvi inahusu marafiki wanne na wake zao ambao wenyewe wanaamini wanafahamiana...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa vile hauoni haina maana hakipo, kipo lakini ndio hivyo huoni...!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari za humu wadau.... Leo nataka nitoe tabia za njiwa especially wewe unaetaka kuwafuga. 1:Kwanza kabisa lazima wawe wawili 'pair'(jike na dume). 2:Njiwa wakiwa mbele yako usipende...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Asubuhi ya leo nikiwa na wenzangu wa club yetu ya mtaani baada ya kumaliza mazoezi tukawa tumekaa sehemu tunapata vinywaji. Meza niliyokaa nilikua na rafiki zangu wengine watatu, mwanamke mmoja na...
12 Reactions
288 Replies
31K Views
Duh kweli dunia duara, it was so amazing kuonana na huyu ex wangu tulipotezana baada ya kumaliza form 4, nikaingia advance boarding naye wakahama sehemu walipokuwa wanaishi. Baada ya kutoonana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wale ambao wameshawahi kuhonga hela kwa dada zetu (kaka zetu pia kama wapo), nauliza mara ya mwisho ushawahi kumtumia kiasi gani? Me nishawahi kuhonga 15,000/= dah hadi leo kila nikiikumbuka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hata nabii suleiman alikuwa na vijakazi aliwatumia kama wake zake. Jambo ili wamama wengi hamtaki lakini tambueni wao pia ni binadamu wanahitaji kuhifadhiwa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana.? Kuna mwanandoa mpya kaja kuniuliza hivi "kuna mazara yoyote kuchujilia chini chungu" Akiwa na maaana hiii mke wake ametoka kujigungua miezi 4 iliopita ingawa tangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natamani hata niwakaribishe majemedari wenzangu kunako hii papuchi yenye viwango na sifa zote nzuri.Sio mapapuchi hata hayaeleweki.Mapapuchi full vimiminika na harufu za ajabu ajabu pasipo kusahau...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
1.Hakupendi 2.Changudoa 3.Njaa iliyopitiliza.. "Maendeleo hayana chama" Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
46 Replies
6K Views
Lahasha!! Kwa hapa bongo hakuna dada mwenye jeuri ya kurudsha muamala wa 100k hivi hvi anaanzaje kwa mfano??. Wanawake wa bongo sikuhz hata akufumanie ukimpa cash anatulia vzr tu. Twende kwa mada...
3 Reactions
93 Replies
9K Views
"Mwanaume kumbuka kuoa mwanamke unae mmudu, asiwe mwenye kipato sana na asiwe msomi Sana. Usipoteze mda.. Na siku zote mwanaume mwenye kujua thamani ya mkewe ni mwanaume anaependa kumuona mkewe...
8 Reactions
46 Replies
5K Views
Maana unakuta kijana yupo mjini anaagizia atafutiwe chumba miongoni mwa vigezo anavyotoa ni apatikane mwanamke mweupe.najiuliza kwanini?je,hawa dada zetu wenye rangi nyeusi ina maana hawana...
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Back
Top Bottom