Wanaume Wakurya na ninyi mnapenda kulelewa

Wanaume Wakurya na ninyi mnapenda kulelewa

habari ya hapa

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
12,789
Reaction score
8,753
Aman iwe nanyi

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, nashangazwa nakusikitishwa na baadhi ya wanaume kupenda mteremko,

Kwa watu wa pwani si ajabu, lakini vipi wanaume wa bara? mnaojinasibu kwamba ninyi watu wa kazi, imekuaje?

Mnatia aibu, mnakoelekea baadhi yenu mtatamani kuvaa magani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...embu waache vijana wa watu wale raha kila mtu na life lake hapa town okay waache kulelewa utawapa kaz mkuu






sent by my TECNO AMBER RUTTY AG7 using jamiiforums
 
Ila sisi vijana wa dotcom nahisi tuko na tatizo sehemu .
Huwa tukiwa tunapiga story na washikaji kila mtu anandoto ya kumiliki toto la kishua .

Utasikia "si unamuona wandiba anashine siku hizi kapata toto la kishua " .and will be like daamn wtf is this[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasemaje hili mwanamke ugharamikiwe lazima mambo mawili yatokee...

1.uwe na mwanaume anayekupenda .

2. usiwe Malaya.

Note:Wanawake wengi mmekuwa mnagawa sana uchi kiasi kwamba kumuhudumia mwanamke imekuwa kama ujinga hivi au old fashion flani hivi.

Ukipata mwanaume anakupenda na wewe ukajichunguza kabisa huna chembe za umalaya na Mwanaume uliye nae akaona kbs huna chembe za umalaya Basi kukuhudumia mwanamke ni raha Sana..

Jitathimini mwanamke Ana thamani Sana, je wewe una thamani?je sio Malaya?Je huna chembe chembe za umalaya ambazo mwanaume anaweza kunusa na akahisi Huna thamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom