BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,211
- 39,034
Lahasha!! Kwa hapa bongo hakuna dada mwenye jeuri ya kurudsha muamala wa 100k hivi hvi anaanzaje kwa mfano??. Wanawake wa bongo sikuhz hata akufumanie ukimpa cash anatulia vzr tu. Twende kwa mada ni almost week imekata nilileta uzi wa X wangu kutaka turudiane sasa taarifa hii ilinifanya kuanza kurudsha feelings kwa X nkajikuta sina time na mpenz wangu wa sasa.
Automatically mapenz yakaanza kufa kadri nilivyokuwa nakumbuka penz letu na X enz hzo, so nkawa simtafuti akinitafuta namwambia nko busy afu ndo mazima hyo akipiga sipokei, niliingiwa na pepo baya sana la X, ile jmc nakumbuka alinambia anaumwa anajiskia vbaya siku care nkaendelea na mambo yangu jana asbh akanipigia cm akalalamika sana nkaingiwa na Roho ya huruma ghafula na hapo pepo la X likanitoka.
Sikuona case nkamtumia muamala wa 105k ili atoe 100k imsaidie hosp na matunda aisee dk3 muamala unarudishwa na txt juu " Sihitaji pesa zako me nahitaj penzi lako nahitaji mapenz yako nahitaji kunijali na kunithamini" niliwaza nkajisemea moyoni huyu mwanamke ndo ananionyesha dharau hivi?? Kurudisha muamala wa mwanaume si dharau hzi jaman.,, Masela au kuna mhuni anampa pesa??
Automatically mapenz yakaanza kufa kadri nilivyokuwa nakumbuka penz letu na X enz hzo, so nkawa simtafuti akinitafuta namwambia nko busy afu ndo mazima hyo akipiga sipokei, niliingiwa na pepo baya sana la X, ile jmc nakumbuka alinambia anaumwa anajiskia vbaya siku care nkaendelea na mambo yangu jana asbh akanipigia cm akalalamika sana nkaingiwa na Roho ya huruma ghafula na hapo pepo la X likanitoka.
Sikuona case nkamtumia muamala wa 105k ili atoe 100k imsaidie hosp na matunda aisee dk3 muamala unarudishwa na txt juu " Sihitaji pesa zako me nahitaj penzi lako nahitaji mapenz yako nahitaji kunijali na kunithamini" niliwaza nkajisemea moyoni huyu mwanamke ndo ananionyesha dharau hivi?? Kurudisha muamala wa mwanaume si dharau hzi jaman.,, Masela au kuna mhuni anampa pesa??