mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
Habari zenu waungwana.?
Kuna mwanandoa mpya kaja kuniuliza hivi "kuna mazara yoyote kuchujilia chini chungu"
Akiwa na maaana hiii mke wake ametoka kujigungua miezi 4 iliopita ingawa tangu ajifungue alipokauka damu yake ya nifasi basi hadi leo hajaingia katika siku zake ila kijana kwa kuogopa kupandikiza mtoto mwengine mapema basi anaamua " kumwaga nje manii wakati wa tendo"
Suali ni hapa
Kama hajaanza kupata ada zake za mwezi ni kweli hawezi kushika mimba?
Jeee anapomwaga nje kuna madhara gani kiafya?
Kuna mwanandoa mpya kaja kuniuliza hivi "kuna mazara yoyote kuchujilia chini chungu"
Akiwa na maaana hiii mke wake ametoka kujigungua miezi 4 iliopita ingawa tangu ajifungue alipokauka damu yake ya nifasi basi hadi leo hajaingia katika siku zake ila kijana kwa kuogopa kupandikiza mtoto mwengine mapema basi anaamua " kumwaga nje manii wakati wa tendo"
Suali ni hapa
Kama hajaanza kupata ada zake za mwezi ni kweli hawezi kushika mimba?
Jeee anapomwaga nje kuna madhara gani kiafya?