Mapenzi ya Bongo

Mapenzi ya Bongo

koncho77

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
7,791
Reaction score
10,415
Msichana Wa Kizungu Akitaka Penzi anakutizama Usoni Kisha Anakwambia " Let,s Do it Sweetie "

Msichana Wa Kitanzania Sasa Akitaka penzi atakuuliza Muda Ukimjibu

Utamsikia Baada Ya Nusu saa Mimi Naondoka Zangu ,Hawako Romantic Kabisa Ila U romantic Wao Upo Kwenye Kuomba Pesa
 
Tehtehteh....

Mbona wadada wanasema sie ndiyo hatupo romantic.
 
Msichana Wa Kizungu Akitaka Penzi anakutizama Usoni Kisha Anakwambia " Let,s Do it Sweetie "

Msichana Wa Kitanzania Sasa Akitaka penzi atakuuliza Muda Ukimjibu

Utamsikia Baada Ya Nusu saa Mimi Naondoka Zangu ,Hawako Romantic Kabisa Ila U romantic Wao Upo Kwenye Kuomba Pesa
Usitujumlishe mkuu. Ebu jiongelee wewe na demu/mke wako.

Unforgetable wangu hayuko hivi kabisaaa.
 
Wapo wanaojua kubembeleza mwanaume, utadhani malkia toka sayari ya Venus..!
 
Back
Top Bottom