Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

1. Ukimuongelesha tu anawahi kukukasirikia tena anakimbilia kusema muachane 2. Kuwa na marafiki wengi wa kiume, ukiona kwako wanaletwa wageni wa kiume ujue unaibiwa peupe. 3. Wanapenda vitu vya...
6 Reactions
36 Replies
9K Views
Kuna kitu kinaitwa nguvu ya mvuto, lakini pia huenda mmeshawahi kusikia au kusoma kitabu kinachoitwa The Secret. Ni kitabu kizuri sana kinachoeleza kwa kirefu na kwa lugha nyepesi inayoeleweka...
14 Reactions
59 Replies
15K Views
Wanawake mnahusika kujibu kama nanyie mnatuonaga twavutia baada ya kutemwa yaani mnapotuacha tunazidiga kupendeza? au ni sisi tu vibeberu. Tuelezee kidogo ulijisikaje, au unajisikiaje...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Mpendwa bila shaka umeamka salama. Leo naomba nikukumbushe somo la Afya ya uzazi. Somo hili litafafanua faida na hasara au madhara yatokanayo na uvaaji wa nguo za ndani hasa Chupi. Uvaaji wa...
4 Reactions
42 Replies
12K Views
"Baby nina mimba yako" jibu kama mwanaume wa shoka
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Jamaa yangu alichukua demu wana kama miaka miwili sasa. Kumbe demu kaungua na alikuwa tayari kwenye tiba ila alimficha jamaa yangu asijue. Sasa wote wawili ni waathirika. Lakini naamini yote ni...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Wana dharau sana hawajui kusalimia mtu. Na ukiona kakusalimia jiandae basi kuombwa msaada. Ni lazima ama kapotea anataka umwelekeze au kakwama nauli anataka umesaidie... Mi huwa nawatazama kwa...
10 Reactions
69 Replies
8K Views
Dada zangu mambo?? Leo nipo idle tu sina campan hapa afu nataman sana niwe na mrembo wa kupiga nae story hapa kwangu, sasa daah yoyote atakae fill kuja tupige story mpaka mida flan ya mishale...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama hamtabadilika mtaishia kupata frustrations enyi wanaume ambao hamuendi na wakati. Maana kila siku mtakimbiwa na wake Kazi za kupika, kufua nguo, kudeki nyumba/choo, kuosha watoto na...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Eti nasikia wanawake wengi duniani kuliko wanaume mbona kila demu ukimfuata anakuambia nina mtu wangu Hao wanawake waliozidi idadi wapo wap
1 Reactions
16 Replies
966 Views
Hivi ni Kwann wanafunzi wa chuo haswa wasichana ni watu ambao mapenzi yanawasumbua Sana kila siku wao wanalizwa tu wao Bora hata walioishia sekondary Wana afadhali?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sina nia ya kumkwaza, kumkera au kumkejeli mtu yeyote. Sina mamlaka ya kuwa na maoni kwenye maisha binafsi ya mtu yeyote. Sina kibali cha kua mshauri wa maswala binafsi ya watu, na wala opinions...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Masela mpo? Vaa suti yako piga pasi inyooke fresh simamisha demu yoyote uone kama ataruka haruki, cm yangu imejaa no za watoto wa ifm wengine nshawasahau sasa najiuliza kwamba suti zinawaogopesha...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Japokuwa hata hapa Jamiiforums wapowatu wa aina hii, ila hii imepitiliza kidoogo
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu habariiii.., Nipende tu kuwafaamisha kwamba haipiti siku bila kumtizama huyu bi dada huko istagram shepu lake na huo msambwanda hapo nyuma daaah ananikosha mno jamani @cherokee d ass
1 Reactions
56 Replies
16K Views
Kwanza ngono,halafu mapenzi.wachache kati ya ninaowajua wameanzia kwenye ngono kwanza baada ya kunogewa ndio wakaamua kua katika mahusiano Yana muda mfupi sana,watu wanaachana fasta tu na...
9 Reactions
39 Replies
7K Views
Habari wakuu!! Wanawake wote mkifanya hv! Sisi wanaume hatutachepuka hata siku moja!! Mwanamke!! Ukitaka mwanaume wako asichepuke! Basi fanya hayaa 1. Usijisahau! Sio baada ya kuolewaaa...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Mida yangu hasa ni jioni au usiku napokuwa nimepumzika. Siku ukiniona katambike. Wewe je?
0 Reactions
4 Replies
831 Views
Wakuu Je, kuna tofauti yoyote kitabia na mwenendo kwa mtoto aliyelelewa na mzazi mmoja na yule aliyelelewa na wazazi wote wawili? Km ipo ni ipi. Karibuni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni Kijana mchapakazi, mjasiriamali aliyeenda shule ya kutosha na mwenye mtazamo chanya kimaisha. Nahitaji mchumba wa kweli mwenye shahada ya sheria (Advocate). Aliyeko tayari ani PM tutawasiliana
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom