Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mwanaume anapo kuwa kwenye age ya 20s anakuwa very sexual active na huwa asilimia kubwa ya akili zao huwaza sex kitu ambacho kinakuwa kinyume na wanawake wao kwenye hii age 20s huwa hawapo sexual...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Mahusiano ni zaidi ya kufanya sex!! Wangap wana afiki?? Hapa ndo tunapata tofauti kati ya SEX na intimacy Wengi wetu hasa waafrica tupo na ideology ya kutanguliza sex kwanza na ndo maana...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke kwa ajili ya mahusiano ya dhati awe mnene na makalio makubwa. Nipo dar na Namba zangu 0754292989
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Katika maisha yetu ya Dunia hi kiumbe kike ni hatari akiwa anakuzidi elimu, urembo, pesa nk wanatesa wenzao kupitiliza ila naomba wakumbuke haya: 1. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 40...
7 Reactions
66 Replies
4K Views
PSYCHOLOGY: SAIKOLOJIA ISHARA 7 KUWA MKEO ANAHITAJI UMSIKILIZE Wakati fulani kitu pekee ambacho mwanamke anakihitaji ni mtu wa kumsikiliza. Njia maridhawa ya kumsaidia mkeo katika...
11 Reactions
44 Replies
5K Views
Kila mmoja anapenda kuitwa mke/mume wa fulani,hakuna mtu anayependa azeeke mwenyewe; kwa hiyo suala la kupata mume/mke linabidi lipelekwe kiutaalamu zaidi kama mtu anavyoomba kazi. kutokana na...
3 Reactions
97 Replies
6K Views
MCHEPUKO JOHN:-Habari yako bwana HASANI:-Nzuri, wee Nani? JOHN:-Natumai hatufahamiani. HASANI:-Yeah, sikufaham. Kwani wee nani nikumbushe.. JOHN:-mimi naitwa mr JOHN au baba Hellen...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Wengi hasa wenye experience zao mtakubaliana nami kwenye mahusiano iwe kwa mwanaume ni ngumu kupata unachokitaka. Kila mwanamke/mume huwa na picha ya mwenza amtakaye katika maisha. Tofauti na...
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Hello JF! Ebana wakuu, kuna manzi wangu kaja toka juzi hapa gheto kwangu kunitembelea lakini nafikiria hata kumtimua kwa maudhi anayonifanyia. Issue iko hivi, jana jioni mimi na yeye tulikua na...
14 Reactions
172 Replies
16K Views
Ni shule ambayo wamepitia watu wengi tangu ianzishwe. Mwakani inatimiza miaka 100 tangu ianzishwe.Ni wakati mzuri wa wanafunzi wote waliopita pale kuungana kwa pamoja kufanya sherehe hiyo. Tell a...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Jamaa nimetokea kumkubali japo ni muongo/mkweli lakini jamaa anajua . Sio mwingine ni huyu wakujiita Kiduku Lilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Inabidi tusafiri na wenzi wetu,bila kufanya hivyo ndoa zitakuwa hatiani;amekuja dada mrembo kunihudumia dakika chache zilizopita kwenye chumba changu....ukichanganya na maji ya gold...
3 Reactions
55 Replies
4K Views
Ni kwanini mwanaume huwa mkali Sana kwa mwanamke anayempenda sana Kama vile mke au mchumba lakini huwa soft kwa wanawake wengine Kama kamchepuko ama rafki yake wa kike?
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Mchumba hasomeshwi , tumechoka kuwa mashahidi wa kesi
3 Reactions
9 Replies
909 Views
Yeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie, muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mahawara zake au vipi maana hata simu yake mimi...
2 Reactions
95 Replies
8K Views
Habari zenu mabibi na mabwana Inapotokea umemkosea mpenzi wako na yeye baada ya kukerwa na kitendo ulichomfanyia aka react katika hali ambayo inakufanya na wewe ukereke je kuna kosa ukianza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Special for men,tumia mfume dume/ubabe hawa watu wanapenda sana order, sasa jichanganye jifanye unapenda usawa Oooooh my friends hapo unaenda kupiga chini hawa watu wanahitaji some sort ya ubabe...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
etiii oooh! "kipepe niazime laki4 ndani ya week mbili nitakulejeshea!" aseee! upo upo tuu, hata kazi huna hiyo laki nne ndani ya week mbili unaipatia wapi??? unanipiga kizinga cha kidigitali...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwanini ujipe stress yakukimbia mji au kuama mtaa kisa umemtia mimba mwanamke na huna uwezo wa kulea! Tumia condom na ikishindikana piga nyeto!maana watoto walio na baba ni wachache kuliko watoto...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Kiuhalisia, watu wazima huwa tuna matendo na tabia zinazoendesha maisha yetu ya kila siku lakini huwa hatutilii maanani wala kuhoji mambo haya yanawezekana vipi. Huwa tunasalimia wafanyakazi...
8 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom