Sasa kama unalijua ilo unauliza ninimkuu,mtu wa hivi ambae yeye anajua kuchat tu unawezaje kuwa na future nae asee?
Kwanza kiswahili kibovu...mabinti hawaoi badala yake wanaolewa....labda nikuulize unapompeleka huko gheto unampeleka as mpishi,housegirl ama?yeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie,muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mawahara zake au vip maana hata simu yake me sitaki kuizoea.
anafaa kweli kuwa mke huyu wakuu?
hapana sikushauri?? afu screen shoot umtumie ulivo andika naisi apa atajiongezayeye akija ghetto hajiongezi kwa lolote hata kuosha vyombo ni mpaka nimwambie,muda mwingi yeye anakua kalala tu na kuchat na sijui ndo anachat na mawahara zake au vip maana hata simu yake me sitaki kuizoea.
anafaa kweli kuwa mke huyu wakuu?
odoemma unapatika wap?Wew unaonaje??
Umemuoa? Na kwanini mnafanya matusi wakati kwao hukujui?kwan mila za kiafrica zinasemaje?
Kusikojulikanaodoemma unapatika wap?