Kwenye mapenzi ni ngumu kumpata umtakaye.

Kwenye mapenzi ni ngumu kumpata umtakaye.

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
34,961
Reaction score
80,240
Wengi hasa wenye experience zao mtakubaliana nami kwenye mahusiano iwe kwa mwanaume ni ngumu kupata unachokitaka.

Kila mwanamke/mume huwa na picha ya mwenza amtakaye katika maisha. Tofauti na sisi wana wa kiume hawa wana wa kike wao ndiyo balaa kupata wamtake ni mshikemshike. Kwanini?

Kwasababu wao wanaolewa wanasubiri mwana wa kiume. Labda wanawake niwatoe uoga hata sisi hutokea hivyo tunavigezo vyote vinaweza kuwa uzuri, umbo, elimu, umri, asili, rangi, tabia au ifanyaji kazi. Lakini mwisho wa siku unaweza kukuta.

-Yule mzuri sio mfanyaji kazi. Wanawake niwape hii siri hakuna mwanaume asiyependa...mwanamke.....mchapakazi...nieleweke hapa sio ulete chakula mezani hapana, lakini hata nikikupeleka kwenye biashara yangu niseme kweli hapa nina mke.

-Haya yule mwenye umbo na asili uitakayo...utakuta rangi sio uitakayo.

-Yule mchapa kazi utakuta haujapendezwa na uzuri wake.Kinachotokea nguvu ya asili inatumika....unajikuta umejitwalia mmoja wa wote.

Sasa mwisho kuna wanaoweza kuvifuta vigezo vyote punde waingipo na kuviacha tu alivyonavyo mwanamke aliyempata.(hawa hudumu).

Kuna wengine wanashindwa unakuta kashafanya uchaguzi lakini bado moyo anasema lakini hana hiki..lakini hana hiki....mwisho hujulikana wenyewe.

NB: kikubwa nikukubali huwezi kupata mtu anayeendana na vigezo vyako kwa asilimia zote. Vingine vya kuvumilia tu, ila sio kuvumilia kwa kusema itoke akilini na moyoni.
 
Kikubwa upendo uwepo, ndani ya upendo wa kweli kuna kila kitu haswa amani ya moyo [emoji5] nampenda sana mpenz wangu na tofauti zetu ndio zinafanya tupendane zaidi kwasababu kila mmoja anajua jinsi ya kuhandle mapungufu yaliyopo baina yetu,we all know HATUJAKAMILIKA
 
Wengi hasa wenye experience zao mtakubaliana nami kwenye mahusiano iwe kwa mwanaume ni ngumu kupata unachokitaka.

Kila mwanamke/mume huwa na picha ya mwenza amtakaye katika maisha. Tofauti na sisi wana wa kiume hawa wana wa kike wao ndiyo balaa kupata wamtake ni mshikemshike. Kwanini?

Kwasababu wao wanaolewa wanasubiri mwana wa kiume. Labda wanawake niwatoe uoga hata sisi hutokea hivyo tunavigezo vyote vinaweza kuwa uzuri, umbo, elimu, umri, asili, rangi, tabia au ifanyaji kazi. Lakini mwisho wa siku unaweza kukuta.

-Yule mzuri sio mfanyaji kazi. Wanawake niwape hii siri hakuna mwanaume asiyependa...mwanamke.....mchapakazi...nieleweke hapa sio ulete chakula mezani hapana, lakini hata nikikupeleka kwenye biashara yangu niseme kweli hapa nina mke.

-Haya yule mwenye umbo na asili uitakayo...utakuta rangi sio uitakayo.

-Yule mchapa kazi utakuta haujapendezwa na uzuri wake.Kinachotokea nguvu ya asili inatumika....unajikuta umejitwalia mmoja wa wote.

Sasa mwisho kuna wanaoweza kuvifuta vigezo vyote punde waingipo na kuviacha tu alivyonavyo mwanamke aliyempata.(hawa hudumu).

Kuna wengine wanashindwa unakuta kashafanya uchaguzi lakini bado moyo anasema lakini hana hiki..lakini hana hiki....mwisho hujulikana wenyewe.

NB: kikubwa nikukubali huwezi kupata mtu anayeendana na vigezo vyako kwa asilimia zote. Vingine vya kuvumilia tu, ila sio kuvumilia kwa kusema itoke akilini na moyoni.
Mabahari wanajadiliana wakutie hatiani kwani umejaribu kueleza siri zao kwa uchache.
 
Siku zote huwa vice versa...
Unayemtaka, hakutaki....
Usiyemtaka, ndiyo anakutaka....

Hapo lamsingi ni kuvumiliana maisha yasonge mbele...[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Ni kweli kabisa uliyonena...

Ukimpata angalau mwenye vigezo 80% unavyotaka kamatia huyo huyo...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
 
watia puli kwao rahisi sana, anachagua sabuni/mafuta ayatakayo
 
Haya mambo yanachanganya na kuchosha sana. ninae mmoja tuna mwaka sasa na anajua kabisa lengo langu ni kufunga nae ndoa next year ila nalazomika kumuacha na kuanza upya kutafuta mchumba kwa sababu tu hataki kabisa niguse simu yake ingawa simu zangu yuko huru nazo na ameridhika kabisa tuachane. Najutia muda wangu aisee
 
Sasa anaficha nini
Haya mambo yanachanganya na kuchosha sana. ninae mmoja tuna mwaka sasa na anajua kabisa lengo langu ni kufunga nae ndoa next year ila nalazomika kumuacha na kuanza upya kutafuta mchumba kwa sababu tu hataki kabisa niguse simu yake ingawa simu zangu yuko huru nazo na ameridhika kabisa tuachane. Najutia muda wangu aisee
 
Back
Top Bottom