Mahusiano

Mahusiano

kijazi07

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2016
Posts
1,036
Reaction score
2,237
Mahusiano ni zaidi ya kufanya sex!! Wangap wana afiki?? Hapa ndo tunapata tofauti kati ya SEX na intimacy

Wengi wetu hasa waafrica tupo na ideology ya kutanguliza sex kwanza na ndo maana mahusiano mengi hufa kwasababu kitu kinacho tuunganisha ni sex nando maana ikitokea mmoja wapo katika ndoa akipata shida inayo sababisha ashindwe kufanya sex basi ndoa hiyo asilimia 80% huweza kuvunjika

Nimeongea na vijana kadha wa kadha na kuwauliza

Je' unaeza kuwa na mpenz na ukalala nae wiki nzima bila kufanya sex na uka enjoy mahusiano yako?? Wengi walijibu NO tena wengine walipinga vikali na ndo maana nikaja hapa kushare na nyie na kuwaeleza ukwel watu wanapaswa kutofautisha kati ya kutamaniana na mahusiano

Kutamaniana itaishia kwenye sex na vitu vidogo hueza pelekea ikafika kweny mahusiano ila

Mahusiaono ni zaid ya kufanya sex...
 
Tutolee ungese wako

Bila papuchi hatuwez kwenda sawa
 
Mahusiano ni zaidi ya kufanya sex!! Wangap wana afiki?? Hapa ndo tunapata tofauti kati ya SEX na intimacy

Wengi wetu hasa waafrica tupo na ideology ya kutanguliza sex kwanza na ndo maana mahusiano mengi hufa kwasababu kitu kinacho tuunganisha ni sex nando maana ikitokea mmoja wapo katika ndoa akipata shida inayo sababisha ashindwe kufanya sex basi ndoa hiyo asilimia 80% huweza kuvunjika

Nimeongea na vijana kadha wa kadha na kuwauliza

Je' unaeza kuwa na mpenz na ukalala nae wiki nzima bila kufanya sex na uka enjoy mahusiano yako?? Wengi walijibu NO tena wengine walipinga vikali na ndo maana nikaja hapa kushare na nyie na kuwaeleza ukwel watu wanapaswa kutofautisha kati ya kutamaniana na mahusiano

Kutamaniana itaishia kwenye sex na vitu vidogo hueza pelekea ikafika kweny mahusiano ila

Mahusiaono ni zaid ya kufanya sex...

Ngoja niongeze sauti[emoji441]

Cc Kingsmann
 
Huo ndio mtazamo wako mkuu hivyo usitake kuuhalalisha kuwa ndio upo sahihi 100%.

Ila ukae ukijua mahusinao yasiyo na sex hayo ni mahusiano ya kifamilia ( baba na mtoto , kaka na dada , mama na mtoto the same like that)

Na hiyo tafsiri ya uhusiano ( wa kimapenzi) upo bila kugegedana wanawake pekee ndio wanaoielewa ila hakuna mwanaume anayeielewa hii tafsiri yako.

Mwanaume kabla ya kumuaproach mwanamke kitu cha kwanza anachojenga kichwani mwake ni how this lady is sex in bed, ndio anapata ujasiri wa kumkabili mwanamke husika.
 
Huo ndio mtazamo wako mkuu hivyo usitake kuuhalalisha kuwa ndio upo sahihi 100%.

Ila ukae ukijua mahusinao yasiyo na sex hayo ni mahusiano ya kifamilia ( baba na mtoto , kaka na dada , mama na mtoto the same like that)

Na hiyo tafsiri ya uhusiano ( wa kimapenzi) upo bila kugegedana wanawake pekee ndio wanaoielewa ila hakuna mwanaume anayeielewa hii tafsiri yako.

Mwanaume kabla ya kumuaproach mwanamke kitu cha kwanza anachojenga kichwani mwake ni how this lady is sex in bed, ndio anapata ujasiri wa kumkabili mwanamke husika.
Soma uzi vizuri ...
 
Back
Top Bottom