Habari za Jioni ndugu zangu wasomaji wangu. bila shaka mnaendele vizuri na shuguri za hapa na pale katika kutafuta riziki. sitochoka kila jema kuwaletea.
WAPENZI na wanandoa wengi hivi leo...
Hii nimeicopy mahali nikaona acha nishare na wapendwa wa humu
TOFAUTI KATI YA MKE NA MCHEPUKO
Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu...
Naandika uzi huu nikiwa na masikitiko sana, niko Iringa vijijini uku mnaita Pawaga, kuna ishu flani naifatilia hii siku kama ya nne
Nimechukua gest hapa na kila siku nalala peke angu roho inaniuma...
Usiku wa kuamkia siku ya Leo haukuwa usiku mzuri kwangu japo niliweza kupunguza uzito kimiujiza.
Nilikutana na mrembo niliyemfukizia kitambo sana akanikubalia bahati mbaya tukapotezana bila...
Rejea kichwa cha habari hapo juu! Wale wataalam kutoka ng'ambo huko mbele,wamesema ifikapo September mwaka huu viagra kwa wanawake itakuwa sokoni!!!
Swali!! Bila viagra nibalaa wakimeza itakuaje...
1.anaonyesha mapenz mazito hata wik or mwez hamjafikisha toka muwe wapenz
2.mwenye malalamiko kwamba hutimiz ahadi..(huyu ni hatar..na mbinafsi,..yeye katimiza ahad gan kwako,kukupa papuch au?)...
Ni matumaini mko bukher bin afya
Unpokua katika masuala ya kistareheka na mwenza wewe huwa kama mboga kumaanisha utamu wako (ufundi) ndio humfanya ugali wako (mwenza) aishe ama kufika.
Ni vema na...
Jana Mh Joseph Mbilinyi aka Sugu amefunga ndoa na mapenzi wake bi Happiness Msonga. Ni jambo la kheri kwao na Mungu awape kheri na maisha ya furaha.
Sasa jioni ya Jana mzazi mwenzie wa zamani ni...
Wakuu nipo bored and lonely sana leo hii.
Kwa member KE aliye Mbeya hasa hasa wilaya ya Mbarali tuchekiane PM ili tupate lunch pamoja na maongez ya hapa na pale.
Urgently
Ilikuwa ni siku ya tarehe 2 Januari 2018 ambapo mshauri wetu wa Huduma ya Simu kwa mtoto alipokea simu ya mama kutoka wilaya ya Ubungo. Mama huyo alikuwa na malalamiko ya kukosa matunzo ya mtoto...
UISLAAM NI MZURI KATIKA KILA NYANJA...HAKUNA MAHALI NI MBAYA...LABDA KWA MFANYA DHULMA...
Umeweka utaratibu katika kila jambo...
mfano:-
NDOA KATIKA UISLAAM...HAIWI NDIO KIGEZO CHA USHIRIKA...
Wapendwa kama mjuavyo, hatimaye majuzi nilimkamata yule kuku niliyekuwa nikimkimbiza kwa ajili ya kumfanya kitoweo na sasa yuko mikononi mwangu hapa. kuku mwenyewe nikimgeuza huku na huko namwona...
Naomba wenye uelewa na jambo hili, ni bint wa almost miaka 16, sababu ya kuleta hapa ni baada ya kuongea nae ili kujua maendeleo yake , sasa akanambia " nakueleza kua nasumbuliwa lakini huniambii...
Wanajukwaa leo tunamaliza wikend na hii, Ni kutokana na mitazamo mengi ya watu na huu ni ukweli. Hivi ni vitu baadhi MUHIMU
1. Hutakiwi kutumia sex style za ajabu kwa mke wako, style kwa mke ni...
Nimewaza sana, na kufanya upembuzi yakinifu na Kugundua kuwa Wanawake Wengi hawaolewi kwasababu tu Wametaka iwe hivyo... Kwanini nasema hivyo:-
1. Kama wangetaka kuolewa basi wasingeweza kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.