Jubilee ya miaka 100 ya Bwiru boys

Jubilee ya miaka 100 ya Bwiru boys

Mohamed Ismail

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
228
Reaction score
249
Ni shule ambayo wamepitia watu wengi tangu ianzishwe. Mwakani inatimiza miaka 100 tangu ianzishwe.Ni wakati mzuri wa wanafunzi wote waliopita pale kuungana kwa pamoja kufanya sherehe hiyo.
Tell a friend to tell a friend.
Kwa mawasiliano zaidi
Whatsap no 0762070361
IMG-20190902-WA0050.jpeg
 
Na tunaokaa karibu na Bwiru boys tunaomba mwaliko
 
Tupo pamoja mkuu

Nyumban ni nyumban tu tunakuja
 
Back
Top Bottom