Waungwana!
Katika uzi wa rikiboy usemao "ULISHAWAHI KULA TUNDA KIMASIHARA?" Mimi Bazazi wa Bazazi, mchango wangu (post 1546) nikichangia kisehemu cha post ya Samboko sikuzungumzia kula tunda...
Upendo wa mwanaume haupimwi kwa wepesi wake wa kukutimizia mahitaji yako. Sehemu kubwa mnayokosea kwenye maisha yenu ya kimahusiano ni kukubali mwanaume akulaghai kwa pochi na mali zake na...
Mke wangu jamani kaniita jina hili baya sana ambalo nalisikiaga kwa watu wa mtaani wanasema na kulitamka, nilitamani nimchabange makofi but Malaika kanishika mkono sina hamu naye, nikamwambia...
Matokeo ya darasa la saba yametoka jana lakini sasahivi hayana msisimko kama zamani nimewiwa kuandika historia yangu ya kupata matokeo ya darasa la saba ilivyokuwa baada ya kuona kaandika comrade...
Mke wangu mtarajiwa ni single mother,ana mtoto mmoja,kwetu ni mkoani Tabora ila wote tunaishi Sumbawanga pamoja na huyo baba wa mtoto wa mtarajiwa wangu,wiki tatu zilizopita mchumba wangu alikuwa...
Wakuu.
Mm nimebahatika kuwa na mke ambaye nimezaa nae watoto 3. Nilimuoa kwa ndoa ya gharama mwaka 2005. Ni mke mzuri , ana shape kali , uso unaovutia sana.
Shida yangu kwake ni kuwa anapigiwa...
Sio mimi jamani ni moyo. Mnaweza nilaumu mpaka kesho lakini Mimi mweupe pee kwa hili sijakosea. Ni moyo ndio unataka, na moyo ukitaka Hamna jinsi upe unachokitaka ili moyo utulie akili na mwili...
Maisha ya mwanadamu huwa ni ya kuangaika/kutafuta na baadaye aweze kuburudika.Wengine uweka bajeti kwa kudunduliza kidogo kidogo na hatimaye wanakamilisha furaha yao katika kusherehekea kile...
Natamani nitembelee sehem nzuri na zenye vivutio lakini bajet yngu ni ndogo sana kama mil2 na npo mimi wife mtoto,,,kwa mwenye uzoefu wadau wapi ni sehem nzuri
Wana JF,
Nilipolisikia hili nilicheka mpaka nikazimia, hata sasa hivi ninapoandika bado nacheka maana nimelipata hivi karibuni na nikafanya utafiti mdogo wakanihakikishia, hili hasa limewapata...
Hii clip ilitembea sana miezi kadhaa iliyopita, iliuma sana kuona mchizi analalamikia penzi halafu manzi anamchora tu kwa mashoga zake hadi kufikia hatua kumsambaza kwenye Whatsap
Ndo...
Wadada wa JF mna akili za ajabu sana! Yaani kama kuku vile mnaogopa kudonoa na wakati mna njaa. Sasa siku zote hizo nilikuwa natangaza jamani nahitaji mtu namimi....mkanikalia kimya kana kwamba...
Habari wana JF,
Leo MMU naomba tujikumbushe matendo, mambo mazuri ambayo mama zetu wametufanyia kwasababu wamama wengi ndo walezi wa watoto na familia.
Mimi mama angu hayupo duniani ila mda...
Enzi zileeeeeeeeee
Ikifika Mida kama hii umetia vocha yako unaanza kumpigia demu wako apo mpaka Alfajiri
Hivi stori gani nzuri za kupiga usiku ili usichoke kuongea na simu Mara moja ???
Mimi ni kijana wa miaka 25 nafikilia kuoa sasa.. Kuna Mwanamke nimejuana nae miezi 7 iliyopita
Ni Mwanamke anaenisikiliza na kuniheshimu ,miezi yote niliyo kuwa nae kwenye mahusiano sijaona...
Nyie wa dada wa mie
Mnasikia.. 👌
Kuna kitu wanawake wanaita kujishusha, wanasema usipojishusha basi utamkosa mwanaume. Nikweli mara nyingi mwanamke unatakiwa kujishusha lakini wanawake wengi...
Za leo jamani?
Miezi kama miwili iliyopita nilikua kwenye mahusiano na mtu flani ambae kwa upande wangu namuona kama mkatili flani hivi.
Kisa kilianza siku fulani ilikuwa jmosi kuna issue nilikua...
Habari wanajamvi,
Kuna jamaa aliwahi kuniambia kuwa mpenzi wake aliwahi kumuambia (kipindi wanaanza uhusiano) kuwa mpenzi wake a zamani wake alimuambia kuwa kila akiwa naye madili yake yanatiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.