Awowo Apewe
Member
- Jun 5, 2019
- 72
- 87
Natamani nitembelee sehem nzuri na zenye vivutio lakini bajet yngu ni ndogo sana kama mil2 na npo mimi wife mtoto,,,kwa mwenye uzoefu wadau wapi ni sehem nzuri
Lushoto Mkuzi creek au Soni falls au Zanzibar
Zanzibarkama mil2 na npo mimi wife mtoto
Natamani nitembelee sehem nzuri na zenye vivutio lakini bajet yngu ni ndogo sana kama mil2 na npo mimi wife mtoto,,,kwa mwenye uzoefu wadau wapi ni sehem nzuri
Ngorongoro
CHATO burigi, kuna mbuga na ulinzi, pia utasaidia sana kumfurahisha mfalmeNatamani nitembelee sehem nzuri na zenye vivutio lakini bajet yngu ni ndogo sana kama mil2 na npo mimi wife mtoto,,,kwa mwenye uzoefu wadau wapi ni sehem nzuri
Hahaha mkuu umeua, ingebidi aende na fuso au canter achambue chabue kama vile yuko kwenye meza ya mitumba pale manzese/tandika.Ungekuwa huna wife,ningekuelekeza Mikocheni B assembles of God Mlima wa moto kwa Bishop Dr mama Rwakatale
Jumapil hapatoshi huko mkuu,nmeshanunua koti la suti na mimi ntaenda kujaribu bahati yanguHahaha mkuu umeua, ingebidi aende na fuso au canter achambue chabue kama vile yuko kwenye meza ya mitumba pale manzese/tandika.
Haha ha mkuu umenichekesha kwa sauti hadi watoto wakanishangaa.Jumapil hapatoshi huko mkuu,nmeshanunua koti la suti na mimi ntaenda kujaribu bahati yangu