Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nina uhusiano na binti mwezi wa pili huu. Awali nilimuuliza kama yupo single akasema ndio sasa juzi ameniambia kuwa ana mume ila walitengana na huyo mwanaume ameenda kwao kuomba msamaha na yeye...
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Mchepuko wangu huwa unapenda kutumia maneno haya 'uwe unaacha uroho wewe,kula taratibu...'Akishasema hivyo anasusa kabisa...inakuwa ni wewe unajipimia unavyotaka.Kwa hali hiyo wakuu atakuwa...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuwa na bibie mzuri ni sawa na kula chakula kizuri kwa kutumia sahani safi ya udongo inayovutia,na kuwa na bibie wa kawaida ni sawa na kulia chakula kizuri kwenye sahani ya plastiki.Wengi...
0 Reactions
2 Replies
980 Views
https://chat.whatsapp.com/Cl7DhPnmxGBLr5zgsM31zd
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Za mwanzo wa weekend wakuu!!! Maisha ni watu na watu ni maisha..... Haya tushare pamoja mambo yanayotufanya tufurahie watu wetu wa karibu kabisa tulio nao..... Tuanze weekend fresh!!! Binafsi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi nakumbuka akiitwa Upendo wakati niko form one nilimsindikiza rafiki yangu aende kusex na demu wake gheto la jamaa kufika kule huyo demu kumbe akaja na mwenzake. Wote walikuwa la saba, basi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Husband wants divorce after wife 'lied' about birth control and got pregnant Sarah Carty,Yahoo Style UK 18 hours ago A man claims his wife lied to him about coming off her birth control. Photo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi sio mwandishi mzuri lakini naomba niende moja kwa moja kwa mada husika. Dhumuni naomba ushauri kwenu wakuu nini cha kufanya. Mimi nina umri wa miaka 24 (male) nimeanza kazi mwaka huu mwezi...
7 Reactions
31 Replies
5K Views
  • Closed
Wadau habari za asubuhi maana wengine tumeamka na mahangover! Niende moja kwa moja kwenye mada,kuna sista mmoja tunapiga nae kazi kwenye mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kwenye kampuni binafsi (ya...
2 Reactions
50 Replies
5K Views
Wakuu habari ya leo. Ni mwaka sasa tangu moyo wangu umemdondokea huyu binti mrembo,cheusi mangara mwenye figa ya kibanyu halisi. Na nmeona sasa iwe vyema kupanda levo ya juu na kumweka awe mke...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Salaam wanajamvi la JF. Ukienda kwenye vituo vya rlimu za watoto wadogo, awali, msingi na kuendelea ukapata wasaa wa kuzungumza na watoto au walimu utapata kufahamu kuwa watoto ambao wanaishi au...
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Saa 11 alfajiri linapita treni na mihoni kama yote hadi linakuamsha, na yanapigwa kama vile lengo ni kuamsha watu, hii ni sawa? Haya matreni ya daladala yamegeuka kero na kuleta presha na magonjwa...
1 Reactions
5 Replies
971 Views
Wahenga walisema "mpende akupendaye, asiyekupenda achana nae" hivyo mimi ni nani hata nisitii na kufuata hekima za mababu zetu Wa kale? Nimeandika nyuzi kama tatu hivi, nikiwa na ombi la kupata...
9 Reactions
101 Replies
6K Views
Cheating is sweet and enjoyable...... Tearing apart is bitter and hurting ..... Be ready for the outcomes. Whatever way it comes face it and if you see that you can't handle it better hold...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wapendwa wangu wa jf za siku mbili tatu. kama ilivyo ada sasa ni hivi jana nilikutana na gf wangu wa zamani tukawa tunapiga stori mbalimbali, tulikuwa tumekoleza kweli kweli nikafikia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kila mtu ananicheka kwenye akili yangu, Uvumi unasambaa kuhusu huyo jamaa mwingine, Unafanya ulioyafanya wakati ulipofanya na mimi? Anakupenda kama nilivyokupenda? Umesahau mipango yote tuliopanga...
5 Reactions
77 Replies
5K Views
FANYA HAYA KWA MUME WAKO. 1. Muite kwa jina lake la utani 2. Muache atumie mamlaka yake kama kichwa cha nyumba. 3. Usimcheke akiwa ameumizwa na jambo fulani. 4. Kaa kimya pale anapokuwa na...
35 Reactions
456 Replies
28K Views
Habari wanaMMU. Hii dunia ina mengi kwelikweli. Siyo ajabu ukasikia mwanaume kashiriki mapenzi na watu wawili au zaidi ambao ni ndugu wa damu moja mfano Mtu na mdogo au dada yake au mama na...
1 Reactions
68 Replies
14K Views
ukiona mwanamke anasema kwake sexy si kila kitu huyo ana stress za maisha ndo utakuta alikuwa na jamaa yake maskini anamkataa anaenda kuolewa na tajiri akishaenda kuolewa na tajiri afu tajiri...
3 Reactions
22 Replies
6K Views
dah huyu dogo anaishi ndoto za vijana wengi, yani ameshawagonga wanawake si chini ya elfu moja kuanzia wazee mpaka vijana,vibonge mpaka vimbau mbau,weupe kwa weusi,warefu kwa wafupi. tena...
4 Reactions
47 Replies
7K Views
Back
Top Bottom