Elementi
Member
- Apr 9, 2019
- 60
- 157
Mimi ni kijana wa miaka 25 nafikilia kuoa sasa.. Kuna Mwanamke nimejuana nae miezi 7 iliyopita
Ni Mwanamke anaenisikiliza na kuniheshimu ,miezi yote niliyo kuwa nae kwenye mahusiano sijaona changamoto mbaya kwake na nilipanga mwezi wa 10 mwaka huu awe Mke Wangu rasmi
Sasa Leo nikiwa napiga nae stori amejikuta ananisimulia mambo ya nyumbani kwao kuhusu Mama yake na Baba yake...
Alipo kua mdogo Akulelewa Kabisa na mama yake, alilelewa na Mama wa kambo kwa mda Mrefu ingawa Mama yake mzazi yupo hai...
Anadai alipoanza kujitambua Bibi yake akamuweka wazi kuwa baba yake na Mama yake ni Ndugu Kabisa lakini kwabahati mbaya walijikuta wanafanya mapenzi na ndipo akapatikana yeye
Yaani kwakifupi Baba yake na Mama yake ni ndugu.. Yeye kapatikana kimakosa tuu...
Sasa hapo niko njia panda wakuu.. Nimeanza kufikilia kumuacha tuu uyu Mwanamke, asije niletea mikosi apo baadae..
Naombeni mawazo yenu kuhusu jambo hili jamani...
)
Ni Mwanamke anaenisikiliza na kuniheshimu ,miezi yote niliyo kuwa nae kwenye mahusiano sijaona changamoto mbaya kwake na nilipanga mwezi wa 10 mwaka huu awe Mke Wangu rasmi
Sasa Leo nikiwa napiga nae stori amejikuta ananisimulia mambo ya nyumbani kwao kuhusu Mama yake na Baba yake...
Alipo kua mdogo Akulelewa Kabisa na mama yake, alilelewa na Mama wa kambo kwa mda Mrefu ingawa Mama yake mzazi yupo hai...
Anadai alipoanza kujitambua Bibi yake akamuweka wazi kuwa baba yake na Mama yake ni Ndugu Kabisa lakini kwabahati mbaya walijikuta wanafanya mapenzi na ndipo akapatikana yeye
Yaani kwakifupi Baba yake na Mama yake ni ndugu.. Yeye kapatikana kimakosa tuu...
Sasa hapo niko njia panda wakuu.. Nimeanza kufikilia kumuacha tuu uyu Mwanamke, asije niletea mikosi apo baadae..
Naombeni mawazo yenu kuhusu jambo hili jamani...
)