jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,648
Habari ndugu zanguni,
Nisiende mbali mwaka juzi kuna mdada nilifanikiwa kuanzisha nae uhusiano,ni raia mwenye mchanganyiko wa Marekani na Mexico. Nilimpata baada ya vijishughuli fulani hivi nlikuwa nafanya pale ubalozi wa marekani. Katika kuishi kwetu kama wapenzi alinambia kuwa anahitaji kuzaa na mimi tu lakini hataki kuolewa na hata kama ni gharama za kumpa mimba anaweza kunilipa.Tulikuwa ni watu wa matani mwenzangu kuna siku nipo zangu kwangu akaja na makaratasi ya mkataba na bro wake ambae ni mwanasheria mie skuchukulia serious kivile basi nikasaini then sikutaka hata kopi ya karatasi hizo.Ila kwenye mkataba kuna kipengele kilichonambia endapo atapata mtoto kupitia mimi je nimpe gharama kiasi gani mie nikaandika 10m.
Sasa mwaka jana mwishoni mwishoni mtoto akanasa ujauzito,nilijitahidi kama baba kumtoa matumizi madogo madogo japo mengi alikuwa anayatoa mwenyewe sababu alikuwa anajimudu,bahati mwaka huu amejifungua katoto kazuri mno copyright na mimi kazuri mno kakiume.
Mwezi mmoja baada ya kujifungua ndo akanitolea ule mkataba na kunambia jerry nashkuru mtoto umenipatia kiasi chako cha fedha ni hiki hivyo mwanangu ni mwanang peke yangu.
Nilijua ni utani but mpka now imeshatokea mgogoro tayari kwani naona mwenzangu yupo serious na habari za chini chini ni kwamba next week mtoto anaweza kwenda USA kwa bibi na babu yake
wadau msaada hapo hata wakisheria maana nahisi kudata sihitaji hela nataka mwanangu
Nisiende mbali mwaka juzi kuna mdada nilifanikiwa kuanzisha nae uhusiano,ni raia mwenye mchanganyiko wa Marekani na Mexico. Nilimpata baada ya vijishughuli fulani hivi nlikuwa nafanya pale ubalozi wa marekani. Katika kuishi kwetu kama wapenzi alinambia kuwa anahitaji kuzaa na mimi tu lakini hataki kuolewa na hata kama ni gharama za kumpa mimba anaweza kunilipa.Tulikuwa ni watu wa matani mwenzangu kuna siku nipo zangu kwangu akaja na makaratasi ya mkataba na bro wake ambae ni mwanasheria mie skuchukulia serious kivile basi nikasaini then sikutaka hata kopi ya karatasi hizo.Ila kwenye mkataba kuna kipengele kilichonambia endapo atapata mtoto kupitia mimi je nimpe gharama kiasi gani mie nikaandika 10m.
Sasa mwaka jana mwishoni mwishoni mtoto akanasa ujauzito,nilijitahidi kama baba kumtoa matumizi madogo madogo japo mengi alikuwa anayatoa mwenyewe sababu alikuwa anajimudu,bahati mwaka huu amejifungua katoto kazuri mno copyright na mimi kazuri mno kakiume.
Mwezi mmoja baada ya kujifungua ndo akanitolea ule mkataba na kunambia jerry nashkuru mtoto umenipatia kiasi chako cha fedha ni hiki hivyo mwanangu ni mwanang peke yangu.
Nilijua ni utani but mpka now imeshatokea mgogoro tayari kwani naona mwenzangu yupo serious na habari za chini chini ni kwamba next week mtoto anaweza kwenda USA kwa bibi na babu yake
wadau msaada hapo hata wakisheria maana nahisi kudata sihitaji hela nataka mwanangu