Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,219
- 3,839
Habari wanajanvi?
Bila shaka wengne mmelela lakn mkiamka mtaukuta huu uzi.
Hii mada inahusu wale ambao hujifanya wanajua ku-care pale umeanza mahusiano na she, then wewe ndio kila siku unapiga simu nakuanza kujibebisha mara i love u, mara i mic u, alafu mpenzi wako anajibu asante.
Mara wewe ndo wa kutuma meseji yeye hakuanzi aisee ukiona hvyo minya mbio hupendwi babaaa.
Kanuni za mabaharia nikuminya mbio sio kujikaza kisabuni nakuendelea kujibebisha.
Bila shaka wengne mmelela lakn mkiamka mtaukuta huu uzi.
Hii mada inahusu wale ambao hujifanya wanajua ku-care pale umeanza mahusiano na she, then wewe ndio kila siku unapiga simu nakuanza kujibebisha mara i love u, mara i mic u, alafu mpenzi wako anajibu asante.
Mara wewe ndo wa kutuma meseji yeye hakuanzi aisee ukiona hvyo minya mbio hupendwi babaaa.
Kanuni za mabaharia nikuminya mbio sio kujikaza kisabuni nakuendelea kujibebisha.