Upimaji wa UKIMWI

Upimaji wa UKIMWI

super black Boy

Senior Member
Joined
Oct 15, 2019
Posts
135
Reaction score
169
Daaah! hili gonjws jamani la UKIMWI linatisha sana kwanza linatisha zaidi pindi unapoenda kupima.

Madaktari huwa wanazingua sana na maswali yao kiasi kwamba yanamfanya mtu mpaka anakata tamaa ya kuendelea kupima huo ugonjwa aisee..

Unakuta daktari anakuuliza kijana umejifikiria nini kuja kupima UKIMWI. Daah swali linakera kweli yaani mwingine anakuambia hivi huwa unatumia kinga au hutumii na kama hutumii mwenzako huwa unamuamini kwa kiwango gani?

Akimaliza hapo anakuambia ikitokea umekutwa wewe ni muathirika utachukua hatua gani? Daaah haya maswali huwa yanachosha sana.

Binafsi sijawahi kwenda kupima ila najua haya maswali yapo na mengine ambayo yapo tunaweza kushare hapa kwa wale wazoefu wa kwenda kupima. Yaani siku nikienda kupima UKIMWI huyo daktari atapata tabu sana maana majibu atakayopewa nikirudi tena baada ya miezi mitatu harudii tena.

Ny the way vijana tujitahidi kupima UKIMWI ili tuwe safe na wapenzi wetu. Na raha ya tendo mchezo ufanyike kavu kavu yaani unasikia utamu hadi kwenye ubongo.

Sema huu ugonjwa siku utakapojijua umeukwaa ndo hapo hapo magonjwa mengine yanaanza kukuandamaa.

Hivi ukiwa umeathirika inakatazwa hadi kusex hata kama utavaa mpira jamani nauliza tu? Na je mfano ndo mmeathirika wote na mpenzi wako kuna madhara gani yanaweza kutokea endapo mtaendelea kufanya tendo bila kinga?

Ahsanteni.
 
By the way ukimwi najipima mwenyewe vifaa vyote nakuwa navyo ndani kila baada ya miezi 3 najicheki so ata nikiwa nao ni siri yangu.

ukimwi sio ugonjwa tishio kama zamani ila maisha magumu, diet mbovu na kipato duni ndio ufanya watu kufa mapema.
 
Gari linaloenda gereji mara kwa mara kwa matengenezo huwa kuna usumbufu wake,Pia mgonjwa anapoenda hospitali pamoja na kumeza dawa mara kwa mara pia kuna usumbufu wake;tuyasikie kwa mbali tu na tusiombe yatukute.
 
Mimi niliulizwa swali dogo tu, "ulishawahi kupima kabla?" Basi nikaweweseka vibaya mno! Kutoa kidole kichomwe sindano kinatetemeka balaa!

Nilitaka kuyakimbia majibu ila nilikwenda kupima kwakuwa tu kuna mwanamke nilitakiwa nikapime naye baada ya kama siku tatu hivi mbele, hivyo nilijikaza kisabuni ili nitoke nimejua nisije kuumbuka.

Ngoma isikie kwa jirani aisee, usiombe hata kuhisi tu unayo!
 
Mimi hapa mwenyewe sijapata usingizi jana nimekiss na mtu ambaye hata simwamini sijui itakuaje na kwenda kupima naogopa napata na mawazo hata kula nashindwa
Naomba kuuliza hv kulana denda kunaambukiza ukimwi?

NB bado sijasex nae
 
Kama mwili haunyanyooka nywele ziko vilevile za kawaida hazijanyonyoka kwenye domo hauna madonda hauna homa na kifua kikali kisichoisha cha marakwamara uzito unapima haupungui hauna magonjwa nyemelezi nikuulize wewe unaenda kupima ili ugundue nini ?
 
Daaah! hili gonjws jamani la UKIMWI linatisha sana kwanza linatisha zaidi pindi unapoenda kupima.

Madaktari huwa wanazingua sana na maswali yao kiasi kwamba yanamfanya mtu mpaka anakata tamaa ya kuendelea kupima huo ugonjwa aisee..

Unakuta daktari anakuuliza kijana umejifikiria nini kuja kupima UKIMWI. Daah swali linakera kweli yaani mwingine anakuambia hivi huwa unatumia kinga au hutumii na kama hutumii mwenzako huwa unamuamini kwa kiwango gani?

Akimaliza hapo anakuambia ikitokea umekutwa wewe ni muathirika utachukua hatua gani? Daaah haya maswali huwa yanachosha sana.

Binafsi sijawahi kwenda kupima ila najua haya maswali yapo na mengine ambayo yapo tunaweza kushare hapa kwa wale wazoefu wa kwenda kupima. Yaani siku nikienda kupima UKIMWI huyo daktari atapata tabu sana maana majibu atakayopewa nikirudi tena baada ya miezi mitatu harudii tena.

Ny the way vijana tujitahidi kupima UKIMWI ili tuwe safe na wapenzi wetu. Na raha ya tendo mchezo ufanyike kavu kavu yaani unasikia utamu hadi kwenye ubongo.

Sema huu ugonjwa siku utakapojijua umeukwaa ndo hapo hapo magonjwa mengine yanaanza kukuandamaa.

Hivi ukiwa umeathirika inakatazwa hadi kusex hata kama utavaa mpira jamani nauliza tu? Na je mfano ndo mmeathirika wote na mpenzi wako kuna madhara gani yanaweza kutokea endapo mtaendelea kufanya tendo bila kinga?

Ahsanteni.
Tafuta kifaa chakujipima mwenyewe haitaki stress hiyo dk 10 mpaka 20 majibu unayo mwenyewe hakuna umbea hapo
 
Daaah! hili gonjws jamani la UKIMWI linatisha sana kwanza linatisha zaidi pindi unapoenda kupima.

Madaktari huwa wanazingua sana na maswali yao kiasi kwamba yanamfanya mtu mpaka anakata tamaa ya kuendelea kupima huo ugonjwa aisee..

Unakuta daktari anakuuliza kijana umejifikiria nini kuja kupima UKIMWI. Daah swali linakera kweli yaani mwingine anakuambia hivi huwa unatumia kinga au hutumii na kama hutumii mwenzako huwa unamuamini kwa kiwango gani?

Akimaliza hapo anakuambia ikitokea umekutwa wewe ni muathirika utachukua hatua gani? Daaah haya maswali huwa yanachosha sana.

Binafsi sijawahi kwenda kupima ila najua haya maswali yapo na mengine ambayo yapo tunaweza kushare hapa kwa wale wazoefu wa kwenda kupima. Yaani siku nikienda kupima UKIMWI huyo daktari atapata tabu sana maana majibu atakayopewa nikirudi tena baada ya miezi mitatu harudii tena.

Ny the way vijana tujitahidi kupima UKIMWI ili tuwe safe na wapenzi wetu. Na raha ya tendo mchezo ufanyike kavu kavu yaani unasikia utamu hadi kwenye ubongo.

Sema huu ugonjwa siku utakapojijua umeukwaa ndo hapo hapo magonjwa mengine yanaanza kukuandamaa.

Hivi ukiwa umeathirika inakatazwa hadi kusex hata kama utavaa mpira jamani nauliza tu? Na je mfano ndo mmeathirika wote na mpenzi wako kuna madhara gani yanaweza kutokea endapo mtaendelea kufanya tendo bila kinga?

Ahsanteni.
Kuna mmoja alinikera sana na hayo maswali yake kwani aliniuliza kilichokusukuma hadi uje upime nilichomjibu ni siri yangu na yeye.
 
Mimi hapa mwenyewe sijapata usingizi jana nimekiss na mtu ambaye hata simwamini sijui itakuaje na kwenda kupima naogopa napata na mawazo hata kula nashindwa
Naomba kuuliza hv kulana denda kunaambukiza ukimwi?

NB bado sijasex nae
dawa yake kataa kabisa na kaa mbali na kupima mzee!! maisha raha sana ukiishi bila kuogopeshwaogopeshwa.
 
Kama mwili haunyanyooka nywele ziko vilevile za kawaida hazijanyonyoka kwenye domo hauna madonda hauna homa na kifua kikali kisichoisha cha marakwamara uzito unapima haupungui hauna magonjwa nyemelezi nikuulize wewe unaenda kupima ili ugundue nini ?
anaenda kupima ili atabiriwe atakufa lini!!
 
Baadhi ya watu hamjui ni nini kinatokea baada ya mtu kuambiwa ameathirika.... Watumishi wanaokuhudumia wanaelewa wanafanya nini wewe wapuuze yakukute kisha utaona shughuli yake
 
Mimi hapa mwenyewe sijapata usingizi jana nimekiss na mtu ambaye hata simwamini sijui itakuaje na kwenda kupima naogopa napata na mawazo hata kula nashindwa
Naomba kuuliza hv kulana denda kunaambukiza ukimwi?

NB bado sijasex nae
Hahahah
 
Back
Top Bottom