Mwanaume mwenzangu

Mwanaume mwenzangu

Isitoshe mwanamke huwezi mtimizia vyote,
Wewe kama unampendezesha, sawa ni vizuri.
Yupo mwingine hajui hata bei ya wigi, ila wakifika uwanjani anampendezesha kwa aina yake.
Moja ya comment bora kuiona toka nijiunge humu

Hapo sawa hakika umenena hawa wanaotumia pesa sana kama silaha ndo wazaifu
 
wewe mtoa mada ni boya (nenda kaishi kwenye maji)

Hivi si ndio nyie ambao mkiombwa hela za kusuka na wanawake zenu mnasema mnapigwa vibomu???
sasa waacheni wanaohonga wawahonge wake / wanawake zenu.... Kwahiyo demu wako akija amependezeshwa we vunga tuu mzee.

Shwain
 
Naona wapenzi wakigogo mmehama huko mmekuja nahuku kutuletea fujo zenu.

Asuke hata nywele zalaki mbili ila asije jidai kuniacha kama anajua nilishawahi kumlipia ada hata semista moja ujue [emoji379][emoji379][emoji379][emoji380][emoji380] vitamuhusu
 
Naona wapenzi wakigogo mmehama huko mmekuja nahuku kutuletea fujo zenu.

Asuke hata nywele zalaki mbili ila asije jidai kuniacha kama anajua nilishawahi kumlipia ada hata semista moja ujue [emoji379][emoji379][emoji379][emoji380][emoji380] vitamuhusu
utaozea jela uache watoto wakali kitaa
 
wewe mtoa mada ni boya (nenda kaishi kwenye maji)

Hivi si ndio nyie ambao mkiombwa hela za kusuka na wanawake zenu mnasema mnapigwa vibomu???
sasa waacheni wanaohonga wawahonge wake / wanawake zenu.... Kwahiyo demu wako akija amependezeshwa we vunga tuu mzee.

Shwain
hhhhhhhhhh🤣🤣🤣🤣🤣 VOL....MAX
 
Moja ya comment bora kuiona toka nijiunge humu

Hapo sawa hakika umenena hawa wanaotumia pesa sana kama silaha ndo wazaifu
Jamaa ni critical thinker 😃!!! Huwa napenda watu wanaofikiri kwa mapana ambao wanaweza kuangalia positivity katika mambo mbali mbali yatokeayo katika jamii badala ya kwenda na upepo.
 
Kwahiyo mkuu unamaanisha wadada hatuna other sources of income mpaka tupewe na nyie? come on man, kwani huko ofisini kwenu hamna wadada ,unadhani hawalipwi wanafanya kazi ya kanisa ama? Sasa hizo pesa ndyo wanatumia kupata mahitaji yao,ikiwemo kusuka hizo nywele[emoji3] [emoji3]
 
Isitoshe mwanamke huwezi mtimizia vyote,
Wewe kama unampendezesha, sawa ni vizuri.
Yupo mwingine hajui hata bei ya wigi, ila wakifika uwanjani anampendezesha kwa aina yake.
Nakubali kamanda, ndio maana hata wazungu walitambua nguvu ya "specialization and division of labour"
kila mtu afanye kitu anachoweza kwa ukamilifu ili kuleta tija katika uzalishaji.

Kama wewe una kipaji cha kuhonga zaidi basi wekeza nguvu zako zote katika uhongaji, wapo wapiga shoo wabobezi nao watatamba kwa nafasi yao.

Tunagawana majukumu tu ndio mtindo wa kisasa. We peleka saluni sie tutasifia na kuvuruga nywele wakati wa kumkaza.
 
Kwahiyo mkuu unamaanisha wadada hatuna other sources of income mpaka tupewe na nyie? come on man, kwani huko ofisini kwenu hamna wadada ,unadhani hawalipwi wanafanya kazi ya kanisa ama? Sasa hizo pesa ndyo wanatumia kupata mahitaji yao,ikiwemo kusuka hizo nywele[emoji3] [emoji3]
Hahahah asilimia kubwa ya wanawake kutumia hela zao hawapendagi hata kama wana kazi. So lazma wawe na mtu wa kuwapa hela ya kufanya matumizi yao.
 
Back
Top Bottom