Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari zenu wakuu, jpili imeendaje? najua iko poa sana, japo mambo taiti lakini tukomaeni ndugu tutatoboa tuu. twende kwenye point sasa, mwezi wa kumi huu nilikua nina ratiba zangu za kuwahi VETA...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Mabaharia wenzangu kifupi nina mpenzi wangu ni bikra. Lakini ninapofikilia kumpiga mashine napatwa n huruma sana. Nimedumu nae miez 6 hii inanifanya nipge madem wengne . ok nisaidieni hakuna...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Ukweli ni kwamba kama wewe ni mwanaume ukicheza mechi 15 kuna mbili unaweza kukuta unarudi nyuma kuzuia mashambulizi,na zingine za ushindi na nyingine Droo hali ndio ipo hivyo!,Japo watakuja...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Tendo la ndoa ni kitendo cha kujamiana kati ya Mwanaume na Mwanamke . Aidha , Wataalamu kadhaa wamegundua kuwa tendo la ndoa aka kugegedana ni Raha nambari moja na kuu kuliko zote kwa bianadamu...
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Hili nmeona nilizungumze baada ya jamaa mmoja kulizungumza kwa uchungu mkubwa sana. Naandika kama alivyoliwasilisha kwangu na katika moja ya comments zake humu JF. "Kusema ukweli moja ya watu...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa jina naitwa pol kjna wa miaka 24 ni muhitim wa chuo kikuu.,kitu kilichonivuta niandike katka thread hii ni uitaj wa mschana mwny mapnz thabt ,kuna msemo usemao "every successful man there is...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanawake mara nyingi husamehe kama mwanaume amecheat halafu wanaweza kuendelea na mahusiano na huyo mwanaume aliyemcheat kama kawaida bila tatizo. Husamehe kutoka moyoni. Lakini tofauti na...
5 Reactions
86 Replies
15K Views
Wadau ukimya umenishinda, leo ni siku ya saba tunakutana lakini nimeshindwa kutoboa nyavu. Mwenye ujuzi naomba ajitokeze anisaidie maana binti mwenyewe anabana miguu kwa nguvu mpaka nashindwa...
10 Reactions
119 Replies
28K Views
Iwafikie wanawake wote wapenda fedha, wasio wavumilivu katika mahusiano na wanaume wao wenye kipato kidogo. If i don't get today, i go get tomorrow please wait me, its a matter of a time. Rude...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Poleni na majukumu wana JF! Naombeni msaada wa ushauri. Iko hivi, mimi ni mwanamke ni mkristo ninafanya kazi katika kampuni moja. Kuna mwanaume mmoja ambaye ni mume wa mtu imani yake inaruhusu...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Daah huyu mdada mpaka sahivi sijamwelewa, like nlikutana nae nikachukua namba. Fresh nikaanza kumtongoza akaonekana kunikubalia, like kila saa alikuwa anani-text kwa siku 4 mfululizo. Siku ya 5...
11 Reactions
49 Replies
5K Views
Kuna mdada mmoja kwenye group discussion ya chuo alituelezea jinsi alivyotongozwa na mwanaume. Mwanaume alikuwa anamuhonga huyo mdada hela na vichips halafu huyo mdada akija kutupigia story...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wana jukwaa poleni na majukumu ya kazi. Leo napenda niongee na wana jukwaa hili kutokana na kisa kilichotokea wiki moja na nusu iliyopita maeneo ya Magole kwa mpemba msafi. Kuna jirani...
16 Reactions
62 Replies
6K Views
Ukitaka kujua umuhimu wa kuwa na mpenzi ni hii baridi ikuchape....utajitahidi kunywa kahawa baridi haitoki! utajitahidi kuvaa makoti,hisia zinakuja!Kutokana na hali hiyo,nyumbani hapakaliki...nipo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mamboz. Natafuta rafik wakike wa kubadilishana nae nawazo, life sharing experience in defferent stuffs n others. AGE kunzia 18 Miak yangu ni 26. If ur intrested my pm ipo wazi.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Awe mnene kias mweupe,umri miaka 24 mpaka30 umri wangu 32 Nina kazi ya kuniingzia kipato msomi kidogo km upo tayar please PM
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Habarini tena waungwana. Poleni na majukumu ya siku nzima, ok niende moja kwa moja. Samahanini kwakuwa ni ndefu kidogo kama ntawachosha. Nina ndugu yangu ambaye ni mtoto wa baba mdogo...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
1. Kusomesha mchumba 2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako. 3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali. 4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako. 5...
6 Reactions
15 Replies
4K Views
Hivi umewahi kujiuliza mbona jamii iko negative na watu wazima wasiokuwa na watoto? Unakuta mtu kachelewa kuoa/kuolewa hafu wananzengo wanamuona kama sio wa kawaida flani hivi . Wakati mwingine...
13 Reactions
64 Replies
6K Views
Habari za weekend.. Eti inasemekana kwamba mwanamke akimpenda mwanaume kwa dhati huwa hamuombi hela... Sasa wanume tuelewane kuwa wanaoomba hela ni wa kula na kusepa tu.... Hawatupendi...
4 Reactions
44 Replies
8K Views
Back
Top Bottom