Nimekaa chini nikafiria, wanawake wengi sana kwenye hii Tanzania,nimewapata wa aina tofauti tofauti,ckuwa na mipango nao endelevu zaidi ya raha za muda tu.
Ila napenda nipate kabinti kazuri cha...
Nilikuwa naye kwa miaka miwili, tukawa tunaona wakati wa likizo, we were making love except sex.! Coz nlikuwa naskia matetesi..doo ni mkali ile mbaya, walikuwa wanamgwaya ndo wakasambaza mastori...
Hello wana JF, natumaini muko wazima.
Mie ni kijana mvulana, ninatafuta rafiki wa kike ambaye tunaweza kuanzia hapo kimahusiano mpaka kutimiza malengo ya kuishi pamoja kimaisha.
Msichana awe na...
Najua kuna maeneo mengi ya kumpata,kanisani etc lakini hata humu wanaosoma na hasa wewe unaesoma hii thread una akili timamu (a girl) sisemi wanaume si timamu hapa am talking about my coming girl...
Kama wewe ni mwanaume huna haja ya kusoma post hii maana kuna neno 'girl' hapo juu!
Salaamu wadada wazuri wa JF, natafuta binti mzuri wa kitanzania mwenye maadili mema na aliyetulia ,hata kama...
MIMI ni member mpya wa jamii forum kwa hiyo natafuta rafiki wa kike kwa ajili ya urafiki wa kawaida na pia awe anasoma chuo kikuu ili tubadilishane mawazo kuhusu masuala ya elimu.
nafatuta mwanaume aliye mpweke awe na watoto wasiozidi wawili
umri usizidi miaka mitano
awe HIV-NEGATIVE
MIMI NINA UPENDO WA KWELI
NINA MIAKA 32
MAWASILIANO EMAIL AMINSENGA@YAHOO.COM
KAMA...
Jamani naomba mnisaidie kwa ushauri ili kufanikisha ndoto yangu.mm nina miaka 25, nina elimu ya chuo kikuu, ninatafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:-
*awe na umri usiozidi miaka 22
*awe ni...
JAMANI NATAFUTA KABINTI KAZURI KOKOTE KANAKOSOMA CHUO KIKUU MZUMBE,KWA MAHUSIANO SERIOUS KABISA KABISA NAMI NIKO HAPA MZUMBE KWA SANA.NICHECK AT kulwatz@gmail.com
Jaman kila post nnayoangalia naona ni male anatafuta female,post chache sana za females wanatafuta male
Haya sasa nawadirect nendeni mwakilaga.blogspot.com huko ndo mtakuta females wanatafuta...
Natafuta msichana alye chuo mwaka wa kwanza ambae tutakua wapenzi daima,umri 19-22yrz,kawe keupe,kanene kiasi,karefu kimtindo,macho mazuri,nywele ndefu,kawe kakristo,kawe kasafi ka mwili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.