Natafuta mwanamke wa kuzaa nae!

Primitive

JF-Expert Member
Nov 7, 2011
222
45
Kwa alie serious tu!! Age kuanzia 24!! nipo very reliable! (namaanisha kwa malezi ya mtoto)
 
Nani analea mtoto? kama ni wewe unamchukua akiwa na miaka ngapi? uhusiano wako na huyo binti unakuaje kabla ya kuzaa, wakati mtoto akiwa mchanga, wakati mtoto akianza kwenda shule, wakati mtoto anabalehe etc? be specific mkuu.
Na kuongeza chances, maybe sema pia why you decide to use this unusual way...
 
wanawake wazuri utawapata kimboka na buguruni sewa nadhani watakufaa kwa ndoa yenye maisha marefu
 
Kwa alie serious tu!! Age kuanzia 24!! nipo very reliable! (namaanisha kwa malezi ya mtoto)
wa kukubali hili ni yule aliyekata tamaa ya kuolewa hivyo kama atapatikana basi jua ana 35 years or above. Hivi vya 24 years, bado vina hope kubwa kubwa, labda uvitwange mimba zisizotarajiwa kwao na ukilinde kisichoropoe
 
Nani analea mtoto? kama ni wewe unamchukua akiwa na miaka ngapi? uhusiano wako na huyo binti unakuaje kabla ya kuzaa, wakati mtoto akiwa mchanga, wakati mtoto akianza kwenda shule, wakati mtoto anabalehe etc? be specific mkuu.
Na kuongeza chances, maybe sema pia why you decide to use this unusual way...
Mtoto nalea mimi! si lazima nimchukue mtoto makubaliano anaweza kuishi na mzazi yeyote, unauliza uhusiano na mzazi mwenzangu? si ndio huo uhusiano wenyewe? mengine ya mbeleni itategemea na maridhiano yetu! otherwise kama nilivyosema, am very reliable kwa vyote including kipato!
 
Nani analea mtoto? kama ni wewe unamchukua akiwa na miaka ngapi? uhusiano wako na huyo binti unakuaje kabla ya kuzaa, wakati mtoto akiwa mchanga, wakati mtoto akianza kwenda shule, wakati mtoto anabalehe etc? be specific mkuu.
Na kuongeza chances, maybe sema pia why you decide to use this unusual way...

Ako Gwandu kanishangaza sana.....lakini hongera umemuuliza maswali yapasayo.....
 
izi ndo DECI za kisasa,unapanda mbegu baadaye unavuna,sindio?kaaaazi kweli kweli
 
Ako Gwandu kanishangaza sana.....lakini hongera umemuuliza maswali yapasayo.....[/QUO
nakushangaza kwa nini mrembo? nataka mtoto! seriously najua kuna wadada wanashida kama hiyo au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom