wa kukubali hili ni yule aliyekata tamaa ya kuolewa hivyo kama atapatikana basi jua ana 35 years or above. Hivi vya 24 years, bado vina hope kubwa kubwa, labda uvitwange mimba zisizotarajiwa kwao na ukilinde kisichoropoeKwa alie serious tu!! Age kuanzia 24!! nipo very reliable! (namaanisha kwa malezi ya mtoto)
Mtoto nalea mimi! si lazima nimchukue mtoto makubaliano anaweza kuishi na mzazi yeyote, unauliza uhusiano na mzazi mwenzangu? si ndio huo uhusiano wenyewe? mengine ya mbeleni itategemea na maridhiano yetu! otherwise kama nilivyosema, am very reliable kwa vyote including kipato!Nani analea mtoto? kama ni wewe unamchukua akiwa na miaka ngapi? uhusiano wako na huyo binti unakuaje kabla ya kuzaa, wakati mtoto akiwa mchanga, wakati mtoto akianza kwenda shule, wakati mtoto anabalehe etc? be specific mkuu.
Na kuongeza chances, maybe sema pia why you decide to use this unusual way...
Nani analea mtoto? kama ni wewe unamchukua akiwa na miaka ngapi? uhusiano wako na huyo binti unakuaje kabla ya kuzaa, wakati mtoto akiwa mchanga, wakati mtoto akianza kwenda shule, wakati mtoto anabalehe etc? be specific mkuu.
Na kuongeza chances, maybe sema pia why you decide to use this unusual way...
izi ndo DECI za kisasa,unapanda mbegu baadaye unavuna,sindio?kaaaazi kweli kweli
unataka mtoto tu au na malovee na mimi jumla jumla? na una miaka mingapi?Chief! umri umeenda na nahitaji kidi!
Kwa alie serious tu!! Age kuanzia 24!! nipo very reliable! (namaanisha kwa malezi ya mtoto)