QueenQueen
Member
- Oct 6, 2011
- 26
- 17
Ebu tuelimishane.
Kwa muda mfupi niliojiunga JF nimekua nikisoma sana post za love connect na responses mbali mbali zinazotolewa na members and I must say am deeply dissapointed.
Naona hii ni section ya watu kuandika kama wanatafuta wapenzi then wasubiri kuzodolewa,discouragements,kejeli and all bad remarks.
Ndio kuna watu wako serious na wengine wanafanya jokes lakn sidhani kama love connect section inatendewa haki.
Queen
Kwa muda mfupi niliojiunga JF nimekua nikisoma sana post za love connect na responses mbali mbali zinazotolewa na members and I must say am deeply dissapointed.
Naona hii ni section ya watu kuandika kama wanatafuta wapenzi then wasubiri kuzodolewa,discouragements,kejeli and all bad remarks.
Ndio kuna watu wako serious na wengine wanafanya jokes lakn sidhani kama love connect section inatendewa haki.
Queen