Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi wa benki au wahasibu watapewa kipaumbele. Kipato changu kwa mwezi ni 4m. Umri wangu 29yrs. Nawasilisha.