engineerm
Senior Member
- Aug 30, 2011
- 106
- 19
Wakuu wa jf,mimi ni mwanaume miaka 29,niko masomoni nje ya nchi nategemea kurudi Tz mwakani by june,natafuta mweza wa maisha ili tuanze mawasiliano saizi ili nikifika tumalizie tu taratibu za kindoa.sifa za msichana
1.Awe na elimu kuanzia form six.
2.Dini sibagui ijapo mimi ni mkristo
3.Awe Mcha Mungu sana maana mimi ni mcha Mungu pia mpole sana
4.Awe na miaka kuanzia 23 hadi 28.
5.Awe haja zaa mtoto wala hajawahi olewa.
Mwenye sifa hizi please ni-PM ili mawasiliano yaanze yaani niko very serious kwa hili.
1.Awe na elimu kuanzia form six.
2.Dini sibagui ijapo mimi ni mkristo
3.Awe Mcha Mungu sana maana mimi ni mcha Mungu pia mpole sana
4.Awe na miaka kuanzia 23 hadi 28.
5.Awe haja zaa mtoto wala hajawahi olewa.
Mwenye sifa hizi please ni-PM ili mawasiliano yaanze yaani niko very serious kwa hili.