ona sasa umeanza kujishtukia hebu changamkia tenda hiyo.nitumie mpunga wa tiketi nikate kabisa. si kuangalia mpira tu halaf kila mtu na hamsini zake? maana tuelewane kabisa. coz tuna shida sana vijana
bebii!! nakupendeaga hapo tu!!!poa nipm ila unipe na pocket money laki moja inanitosha
ooh! jamani bahati imenikalia kushoto mi zoba sijachangamka!!! duhhh!!natafuta demu wakwenda angalia nae mechi ya taifa stars....awe mpenzi wa mpira mchangamfu na muongeaji.age: 24-27
ona sasa umeanza kujishtukia hebu changamkia tenda hiyo.