Jamani eee

The Dick

Member
Dec 4, 2010
46
0
Natafuta msichana zeruzeru kuanzia miaka 22 na asizidi 30 na ajue kupika.Mawasiliano tuanzie pm.
 
Zeruzeru=Albino, Acha Tamaa ya utajiri wa kishirikina. Na jina ulilotumia sio lakibinadamu.
 
Hivi wewe si ulishawekaga post yakutafuta mke hapa? Tena ukasema uko US na umeishi sana umasaini na kwamba wewe ni mzungu ila wajua kimasiai? Hukumpata kwan?

Natafuta msichana zeruzeru kuanzia miaka 22 na asizidi 30 na ajue kupika.Mawasiliano tuanzie pm.
 
Hivi wewe si ulishawekaga post yakutafuta mke hapa? Tena ukasema uko US na umeishi sana umasaini na kwamba wewe ni mzungu ila wajua kimasiai? Hukumpata kwan?




Yap,that was me,u have a very good memory
 
mie nahisi wewe ni yoyo,au mdada mwingine humu JF mwenye ID nyengine hii unazuga nayo tu...
 
wewe dick maana yake kiharage? au? maana inaonekana sio binadam wa kawaida huenda ww ni mzuka
 
Wewe zeruzeru wa nini?HGuoni kuwa unatafuta balaa na vyombo vya usalama?Kama unamtaka si utafute kimya kimya na uelewane nae mwenyewe kuliko kutangaza hapa?
Nina mashaka na mpango wako,unaonekana si mzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom