Hivi wewe si ulishawekaga post yakutafuta mke hapa? Tena ukasema uko US na umeishi sana umasaini na kwamba wewe ni mzungu ila wajua kimasiai? Hukumpata kwan?
Hivi wewe si ulishawekaga post yakutafuta mke hapa? Tena ukasema uko US na umeishi sana umasaini na kwamba wewe ni mzungu ila wajua kimasiai? Hukumpata kwan?
Wewe zeruzeru wa nini?HGuoni kuwa unatafuta balaa na vyombo vya usalama?Kama unamtaka si utafute kimya kimya na uelewane nae mwenyewe kuliko kutangaza hapa?
Nina mashaka na mpango wako,unaonekana si mzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.