Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
jamani kutokana na ushauri wenu wana jamvi na mimi nimeamua nimtafute mwenza hapa rafiki nilikosa maana kipengele cha kutongonoka kiliwashinda naona tu nitafute mwenza
(A)sifa za nimtakae
1 awe mkiriso-aambatanishe cheti cha ubatizo komunio na kipaimara
2awe na miaka 30-34- aambatanishe birth certificate
3mtanzania- weka passport
4 awe HIV negative-cheti cha angaza pia tutaenda kupima tena
5 awe na maisha yanayoeleweka loh
6asiwe mlevi wala mvuta bangi,unga,au sigara-tutaenda hosp dokta asibitishe
7 awe anajiamini
8awe mpenzi wa simba na arsenal
9 asiwe amewai kuoa au kuolewaau kuacha ama kuachika
10 awe mjanja awe na upeo wa kujua mambo
11 awe na mvuto loh? sio sura kama umelipuliwa na baruti za bengazi loh
12 awe na moyo wa upendo ,ukweli,huruma,uvumilivu,utu wema na kusamehe
13 nitaendelea kesho
(b) sifa zangu nimechoka nakuja sasa hv subirini hapa hapa
(A)sifa za nimtakae
1 awe mkiriso-aambatanishe cheti cha ubatizo komunio na kipaimara
2awe na miaka 30-34- aambatanishe birth certificate
3mtanzania- weka passport
4 awe HIV negative-cheti cha angaza pia tutaenda kupima tena
5 awe na maisha yanayoeleweka loh
6asiwe mlevi wala mvuta bangi,unga,au sigara-tutaenda hosp dokta asibitishe
7 awe anajiamini
8awe mpenzi wa simba na arsenal
9 asiwe amewai kuoa au kuolewaau kuacha ama kuachika
10 awe mjanja awe na upeo wa kujua mambo
11 awe na mvuto loh? sio sura kama umelipuliwa na baruti za bengazi loh
12 awe na moyo wa upendo ,ukweli,huruma,uvumilivu,utu wema na kusamehe
13 nitaendelea kesho
(b) sifa zangu nimechoka nakuja sasa hv subirini hapa hapa