Nina umri wa miaka 35, ninafanyakazi Dar es Salaam. Mchumba ninayemtafuta,
- Awe na umri wa kuanzia miaka 26-32
- Awe mkristo na awe tayari kuishi sehemu yoyote Tanzania au duniani
- Nina lengo la kujenga familia hivyo awe tayari kupata watoto nami
Mambo mengine nitazungumza naye wakati wa mawasiliano yetu,nami nitamsikiliza yeye nione vipi tunaweza ku-compromise
Mdada anayependa kuwa nami awasiliane kwa email: mmakoga@yahoo.com
Naomba ushirikiano wenu jf!
- Awe na umri wa kuanzia miaka 26-32
- Awe mkristo na awe tayari kuishi sehemu yoyote Tanzania au duniani
- Nina lengo la kujenga familia hivyo awe tayari kupata watoto nami
Mambo mengine nitazungumza naye wakati wa mawasiliano yetu,nami nitamsikiliza yeye nione vipi tunaweza ku-compromise
Mdada anayependa kuwa nami awasiliane kwa email: mmakoga@yahoo.com
Naomba ushirikiano wenu jf!