Mmaza bana...na wewe!.Mmanza ni mtu wa namna gani....?
hao wambea hawana reception nzuri,me nataka hawa walio kamili idara zote.
He he...Kiswahili cha nchi ya jirani sio~sawa mkuu!.nilimaanisha mmanzi bana.
kha!!! huu ujana utatupeleka kuzimu!!!!yeah meen!