Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hope si mademu wote wana company,namtaka mmoja kesho ila asiwe selective kwenye vyakula na vinywaji,napenda kitimoto so naye awe mtumiaji,napenda muziki pia
0 Reactions
1 Replies
829 Views
Mjasiriamali natafuta mwenza, miaka 20-28 awe na hofu ya mungu, kiuno awe size 30-36 hips 42-48, mi mwenyewe ni mrefu ft 5 na cm75 nina 64 kg.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jamani kuna mtu alowah jipatia mchumba hapa au ndo twaishia kupachka matangazo.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
mm ni kijana mtanzania,ninasoma chuo kikuu cha mkwawa namtafuta mrembo wa kubadilishana nae mawazo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
end of topic.
1 Reactions
59 Replies
4K Views
mambo!!!!!! princess enny natafuta marafk!! aliye tayari ani add
6 Reactions
83 Replies
8K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 36,elimu ya chuo kikuu,mkristo, mrefu, maji ya kunde. Natafuta binti ambaye atakuwa mpenzi wangu,mchumba na hatimaye mke. Binti awe mkristo na awe...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
maelezo zaidi kuhusu mm ni pm utayapata. vigezo umri kuanzia miaka 30 na kuendelea mimi nina miaka 29 na ni mama wa mtoto mmoja.
3 Reactions
31 Replies
7K Views
vipi hali wana JF,niko Nairobi kenya na ningependa ku Skype na any single mature ladies from Tz, awe dem anajiheshimu sio wale wenye mambo ya kijinga kwenye internet, my Skype Id is mwishokileo
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Peopleeeeeeeeessssssssssssssss!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kumekuwa na mpambano wa chini kwa chini kila mtu kutaka kujiposition kwa Prisoner 46664 wazi wazi na kisirisiri!!!! Sasa Kujihakikishia ushindi...
1 Reactions
159 Replies
8K Views
Sio utani.....kama upo serious karibu
0 Reactions
56 Replies
4K Views
hi
wadau,magwiji na wanazuoni wa pande mbalimbali,mdau nmeamua kuingia ndani bcoz kwa muda mrefu nmekua sio memember ni msomaji tu. god be with u all!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari JF, mimi ninaitwa Colins ni mvulana umri wa miaka 27,nimehitimu degree ya kwanza pale Chuo cha Usimamizi wa Fedha mwaka jana na kwa sasa niko na kampuni yetu ndogo ya kuwasaidia wakina mama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu, Kwa mara nyingine najitokeza mbele yenu kuwafahamisha kuwa natafuta msichana mtulivu(anaehitaji kutulia kimapenzi) mwenye wasifu ufuatao; awe na umri wa kuanzia miaka 22-26, awe na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mi ni mwanaume miaka 34, mweusi, urefu 5.6ft,umbo si mnene wala mwembamba(wastani), Elimu chuo kikuu, mkristo(Lutheran), naishi Dar, natafuta mtu ambaye atakua mpenzi, mchumba mpaka mke kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
How is it guys? need a generous friend to chat with! I'm a man who likes reflective thinking
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta msichana wa ku-spend naye sikukuu hizi, yaani kuanzia tarehe 24 December, 2012 hadi tarehe 02 January, 2013. Sifa zake ni:- Awe mrembo na wa kuvutia Umri kati ya miaka 18 - 25 Asiwe...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
mm ni mvulana umri 25, elimu yangu ni chuo certificate ya bussness... kazi mfanyabiashara. nipo arusha. nahitaji msichana ambaye atakuwa mke wangu awe na umri kuanzia 20 hadi 22, tabia njema...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa mawasiliano zaidi usijali coz niko serious piga 0714303414 at any time
0 Reactions
0 Replies
889 Views
WASIFU WANGU miaka 28 ni mfanyakazi serikalini mrefu wastani mweusi kidogo mhitimu chuo kikuu mkristo rc natafuta mwanadada any colour,,mfanyakazi mkristo, mrefu wa wastani, umri usizidi...
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Back
Top Bottom