Naitwa J, umri wangu ni miaka31, naishi Dar, elimu shahada ya kwanza, dini Mkristu, situmii kilevi chochote, nimtakae awe na umri 25-36, awe mweupe, elimu kidato cha nne mpaka shahada...
Hello Girl.
Poleni na kazi ndugu zangu' mimi naamini mke uliyepangiwa na Mungu unaweza kutana naye popote.
Naomba mdada yoyote aliye single au hata kama upo katika mahusiano yasiyo seriously...
habari wana JF,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 36,nina mtoto mmoja wa miaka 6 natafuta mwanamke wa kuishi nae awe mke wangu.Mimi ni mfanyabiashara nina kipato cha kawaida kuendesha maisha...
Dini awe Muislam,umri usiozidi miaka 23,kama mkristu awe tayari kubadili.
Awe tayari kwa ndoa wakati wowote pindi tutakapo ridhiana,
Mm ni mtumishi serikalini,na nipo kanda ya ziwa,kwa aliye...
Ni matumaini yangu wote mu wazima!!!
Nimejitokeza hapa kutafuta rafiki wa kike wa kuchart nae, ila
1. Awe free asiwe controlled girl
2. umri wowote ila asizidi 23, ninaamini 24 nakuendelea...
Mi ni mwanaume nina watoto wawili mmoja wa kike na mwingine wa kiume nina miaka 42 ninaishi mwanza natafuta rafiki hasa wa kike kati ya miaka 35 na 40.
natafuta msichana aliye serious tuanzishe urafiki ikimpendeza Mungu tuende katika upande wa pili we maisha, awe mchaji na mwenye hofu ya Mungu pia awe anayejitambua.. umri usizidi miaka 27 pia...
Specifications;
Miaka 27 nachini yahapo, awe nakazi serikalini (yoyote), mrefu na mweupe au maji yakunde mimi nafanya kazi serikali nanimwaminifu.
Mdada mwenye sifa hizo nayuko serious nandoa...
Mimi ni kijana aged 33 natafuta Mwanamke asiye na mume aged 37-40 asiwetegemezi tusikatishane tamaa mpaka nikaamua hivi nimejifunza mengi nipo Mwanza kwa Wanawake waliosonga umri. Karibuni sana.
Namtafuta Mchumba wa like Mwenye umri kati ya 25 na 35. Awe na Elimu ya chuo kikuu kuanzia shahada 1- 3.Awe ameajiriwa au amejiari. Awe anaweza kunilea vema na kunijali
Mimi na shahada ya PHD na...
habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza;
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28, mkristu,mweusi kwa rangi(chocolate), elimu yangu ni ya ngazi ya shahada, ni muajiriwa serikalini.
ninatafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.