Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta mchumba wa kike Muislam,mwnye kumcha Allah na mwenye maadili mema. Umri 18-22 mwenye kuajiriwa au aliejiajiri,nipo serious na nahitaji mtu aliye serious pia,mimi ni mtumishi serikalini na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wadau wa JF mimi ni kijana wa kiume wa miaka 30,natafuta mchumba ambaye atakuwa mama watoto wangu,kiwango changu cha elimu ni Degree. Mchumba/Mwanamke ninae muhitaji awe na sifa zifuatavyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habar Mimi ni kjana mwenye umr wa miaka 25.. Pia ni mwajiriwa wa serikalin ni mwalim shule ya msing ambaye nimeanza kaz mwaka 2014 Natafuta mchumba mwenye sifa zifyatazo; 1;Awe muislam 2; umr...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni msichana, Nina miaka 27, mkristo(RC), Nimeajiriwa Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde) Makazi yangu ni Dar es Salaam Elimu- Diploma ya Finance Nina mtoto mmoja Sifa: Awe na...
4 Reactions
49 Replies
7K Views
Mwanamke mtu mzima mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI namuhitaji ili tuishi maisha ya matumaini napenda awe mtu mzima kwakuwa mimi pia ni mtu mzima naomba tuwasiliane kwa 0658 511 714...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi kama kichwa cha habari kinavosema kama upo ready njoo pm
1 Reactions
0 Replies
890 Views
thank you
1 Reactions
0 Replies
816 Views
Hello natafuta mwanamke wa kuchat nae umri kuanzia 26-30 aliue tayari karibu PM Lengo ni long term relationship sitaki ubabaishaji karibu
1 Reactions
0 Replies
955 Views
Iam a boi with 25 yrz; Natafuta mwanamke mwenye tru lv,kuanzia 26 yrz mpaka 35,ani PM kama vp
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Age from 30+
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Mimi ni kijana umri 27, nahitaji galfrend, sifa zozote sichagui aliyetayari ani pm
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Umri wangu ni 23.Umri wa ni mtafutae 28-35..Dini mkristo mwenye hofu ya mungu.Kwa mawasilino 0744818200.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hi wanaboard. Hope mnaendelea vyema.Japo ni gumu kuleta ombi hili mbele ya JF lakini wacha nilitoe. Natafuta Mke wa Pili wa Kuoa ili niweze kutimiza maamrisho ya Imani yangu ya uadilifu. (Quran...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
1723839!'(""(#))@82-#:#'*:?*!"$+#:#-@7272&#;*+#?)"7$-$$-$$(!#:@@)#?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji mke so nimeamua kutafuta mchumba atakae kuja kwa my wife,sihitaji mwanafunzi wa sekondari,kama wa chuo poa,awe anajua majukumu yake,unaweza kunipata pia kwa namba...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa Neema ya uhai na afya. Pili napenda kuchukua wasaa huu kuwashukuru wote wanaoifanya jamiiforum kutufanya tupate pa kusemea. Tatu nawashukuru wadau wote wa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mrejesho Hhr wadau WA jukwaa hili? Napenda kuchukua wasaa huu kuwashukuru nyote kwa michango yenu na mawazo yenu. Pia nawashukuru wote mliyekuja pm, isingewezekana kuwapa nafasi wote kwakuwa...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Kichwa cha habari chahusika hapo juu.. > Kama upo lonely > Frustated > Hopless > You need company > And unconditional care Plzzz pm me now...I wil respond on time! Vigezo na masharti kuzingatiwa
1 Reactions
6 Replies
1K Views
mie ni bint wa miaka 25 ni h.i.v possitive din mkristo , mwajiliwa katik kampuni fulani hv, ni mrefu ,rangi maji ya kunde.... kwa mwanaumw aliyetayar tuyajenge maisha kwa kufarijian na upendo...
2 Reactions
65 Replies
7K Views
Back
Top Bottom