Natafuta mchumba wa kike Mwalimu

Natafuta mchumba wa kike Mwalimu

mahmouddy

Senior Member
Joined
Jan 29, 2015
Posts
128
Reaction score
30
Dini awe Muislam,umri usiozidi miaka 23,kama mkristu awe tayari kubadili.
Awe tayari kwa ndoa wakati wowote pindi tutakapo ridhiana,

Mm ni mtumishi serikalini,na nipo kanda ya ziwa,kwa aliye tayari anitafute kwa mawasiliano hapo chini

Email
Kbrama78@gmail.com
au ani Pm humu humu.

Akhsanteni
 
Back
Top Bottom