Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33 , natafuta rafiki wa kike ambae tukikubaliana na kuelewana tutaanzisha familia .awe na elimu yoyote,kabila lolote,rangi yoyote ila awe msafi tu.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi jamani kwa nini wadada wanabagua makabila wakati sisi tunataka tuoe jamani??? ??
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wazazi wangu walifariki kipindi kitefu kilichopita, kutokana na changamoto za maisha ya kila siku kuna kipindi nahitaji mawazo ya wakubwa na kufarijiwa kama mtoto kwa wazazi. Naishi kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau, Mimi natafuta mwanamke kuanzia miaka 35 hata kama ana mtoto/watoto sawa tu tuanzishe mahusiano maana naona hawa wasichana wadogo wananisumbua tu bado hawajamaliza usichana. e-mail yangu...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Habari JF! Kwanza kabisa heshima iwe kwenu! Mimi nimekuwa ni mtu wa kuumizwa sana na mapenzi! Kila mtu nae kuwa nae mara nyingi huwa najikuta nimempenda sana sana! Halafu mwisho wa siku huishia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Morning JF, Mimi ni binti natafuta mom and daddy wa hiari ambaye atanipa maneno mazuri ambayo mzazi umpa mwanae ambaye atanifariji kama mzazi anavyomfariji mwanae pia ambaye atanipenda kama...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Morning jf, Mimi ni bint natafuta mom and daddy wa hiari ambaye atanipa maneno mazuri ambayo mzazi umpa mwanae ambaye atanifariji kama mzazi anavomfariji mwanae pia ambaye atanipenda kama mzazi...
0 Reactions
72 Replies
7K Views
Jamani wana Jukwaa nawatangazia nafasi wazi ya mwenza baada ya aliyekuwepo kuachia ngazi. Nasubiri mwitikio wenu wadau
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Vigezo awe n mrembo na mwenye umri wa miaka 18-25. Kuhusu kabila awe ni mnyamwezi, mngoni,mnyakyusa,mchaga na muhaya.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Am 29 years old with honest and bachelor degree+ CPA am working in a good company as Financial Accountant in really am looking a commitment girly who will show commitment to me and create a...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta marafiki wa kike umri uwe miaka 30 -48 sitaki taabu ya kumsumbua na mtu mengi yatafuata
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naitwa erick Nipo dsm Natafuta mchumba miaka kuanzia 17 mpaka 23 Vile vile natafuta marafiki wa kuchat nao kubadilishana mawazo mawasiliano 0654937160
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Rejea kichwa cha post hapo juu, Ila awe anaishi sehemu moja kati ya hizi kwa sasa Dodoma, Morogoro na Dar au katikati ya maeneo tajwa,kama ni muislamu basi akubali kuwa mristo baadae,tabia njema...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Natafuta mwanamke mwenye maambukizi ya Virusi vya ukimwi,umri wangu ni miaka 47 tuwasiliane kwa email ifuatayo sekenemboh@gmail.com au tuma sms ktk namba 0715 33 85 27 ahsante!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa, Mimi ni binti mwenye umri kati ya miaka 25 hadi 30 na mwaka 2010 wakati niko kwenye maandalizi ya ndoa na aliyekuwa mchumba wangu tuliambiwa tukapime, na ndipo nilikutwa...
1 Reactions
99 Replies
23K Views
Natafuta rafiki wa kike awe kati ya miaka 20-25
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf wenzangu wakibwa na wasalim agemate mambo vipi, leo nimeona nilete uzi mwingine huku! Mimi nauliza je hawa wanaotafuta wachumba, wapenzi, madem pamoja na marafiki hivi mnawapata...
1 Reactions
6 Replies
906 Views
Wasalaam...... Mimi mwanaume mwenye umri wa miaka thelathini (30) nimejiajiri na pia ni mhitimu wa shahada ya kwanza, lakini hapa naomba kwa aliye tayari yaan mwanamke wa umri wowote ..ana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mdada yeyote aliyejitunza mpaka kufikia umri Wa miaka 23- 26 nampa zawadi ya ndoa bila kujali mrefu, mwembamba, mweupe, mweusi hata kabila haijalishi. Awe mjasiriamali au kama ana elimu awe...
1 Reactions
62 Replies
8K Views
Natafuta mchumba wa kike umri 25-30 fani lazima awe mwalimu either secondary, primary, lecturer or tutor. Kwa mawasiliano zaidi ni PM
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom