Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Wish you luck my sister umpate mwanaume umtakae nimependa the way ulivoandika post yako,u seems u so intelligent i really appricate on you japo sikufahamu..nakuombea upate mume mwema..all the best...
0 Reactions
110 Replies
13K Views
Hi
Hi
1 Reactions
3 Replies
908 Views
Nahitaji mke mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 33. Awe mkristo, elimu f6 na kuendelea. Awe na mwili wa wastani. Kama una nia ya dhati ni pm tafadhari tuongee zaidi.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mm ni kijana mwenye umri miaka 25 elim degree mkristo mcheshi ninajitambua natafuta msichana mwenye umri miaka kati ya18_25 dini yoyote rangi yoyote isipokuwa asiwe mweusi sana elim kuanzia 4m4...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Wanajamvi habari za leo, Kwa hakika nimeleta wazo langu hili hapa jamvini lengo langu kubwa ni mwanamke wa kiarabu.Sifa na mambo mengine tutaeleweshana tutakapo kuwa tumewasiliana
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Awe na kuanzia miaka 20 hadi 27..asiwe na mtoto..elimu haina shida..vitu vingine sijali...asiwe amewahi kuchumbiwa...basi....
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nafuta mimi ni mdada wa miaka23 natafuta marafiki bila kujali jinsia umri23-30. Karibuni kwa pm
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta mgane 50+ kama upo serioua just PM me.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Nina nia ya dhati kabisa na ukweli kutoka moyoni mwangu najitokeza hapa kutafuta mwanamke mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI ili awe mwenza wangu wa maisha na tuishi maisha ya matumaini mimi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Awe mweupe au maji ya kunde.umri kuanzia miaka 17 hadi 25.Mimi ni kijana,nimeajiriwa na pia nimejiajiri.kama una vigezo ni pm.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wana jamvi mimi ni mtanzania ninayeishi hapa Dar natafuta mwanamke wa kiarabu kama atakuwa tayari ani pm
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Ni kijana wa kiume ninamiaka 32, nimeajiriwa hapa DSM nahitaji mchumba awe kati ya miaka 25-28, mweusi, mnene pia awe mkiristo na asiwe mrefu sana. Karibu pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama wewe ni mwanamke, umri wowote na huna mtu wa kukufanya utabasamu kila wakati, njoo tubadilishane mawazo, tucheke, tutaniane kidogo na tufurahi pamoja. Kwakufanya hivyo itakufanya uwe na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni kweli natafuta mke sasa. Umri nao umeenda sasa. Kwa masuala ya details yatakuwa kati yangu na huyo atakayeni inbox. Kwa kweli najua wapo wanawake humu wengi tu na wazuri tu ambao kwa namna moja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama uko tayari dm,kwa wadada na wamama tu
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47!Natafuta mwanamke mwenye maambukizi ya virus vya UKIMWI ili awe mke wangu na tuishi maisha ya matumaini sina vigezo vingine na sina ubaguzi wowote wa umri...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
I need a muture person to talk to tafadhali si mapenzi wala kutongozana I need advice a single mom am so confused please
0 Reactions
41 Replies
7K Views
My love i have found this site jamiiforums it's very interesting with amazing people some understand how i feel some they don't others told me to put effort while others hates me but i can't feel...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninahitaji kupata mtoto na nimeonelea nitafute mwanamke/mdada ambaye yuko tayari kwa hilo kisha tukubaliane terms & conditions. Ningependa mhusika...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Back
Top Bottom