R Mbuna
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,295
- 5,447
Mimi kijana mwenye miaka 30 nahitaji mpenzi ambaye kama akiqualify vigezo aje awe mke na mama wa watoto wangu.
Awe musilamu
awe angalau anashughuri yoyote inayomuingizia kipato
Hata kama amezaa asiwe na mtoto zaidi ya mmoja
Umri kuanzia 28 - 35 yrs
..................................................................................
Sifa zangu
Nina elimu ya diploma in Logistics and shipping management
Nimeajiriwa katika kampuni binafsi
Nina urefu wa 5.2 ft
Aliyetayari ani PM
Awe musilamu
awe angalau anashughuri yoyote inayomuingizia kipato
Hata kama amezaa asiwe na mtoto zaidi ya mmoja
Umri kuanzia 28 - 35 yrs
..................................................................................
Sifa zangu
Nina elimu ya diploma in Logistics and shipping management
Nimeajiriwa katika kampuni binafsi
Nina urefu wa 5.2 ft
Aliyetayari ani PM