Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mkazi wa Kanda ya ziwa, ni muajiriwa serikalini na mwanamke mrembo wa ndoto zangu anahitajika. Vigezo awe mkristo na umri kuanzia miaka 22
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Kwa aliye tayari na seriously naomba asome vigezo hv Awe Muislam Awe mcha Mungu Awe na umri 18-22 Awe na elimu kuanzia kidato cha 6 na kuendelea. Awe muelewa na mshauri mzuri Asiwe na stress zake...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Natafuta rafiki wa kuchat nae Awe mature Age 30 and above if interested ni PM
8 Reactions
26 Replies
4K Views
ni baba wa makamo natafuta mwanamke muelewa tupange maisha.Niko dar, nipm lmpliz
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni mdada wa umri wa miaka 29,naishi Dodoma mjini, natafuta mwanaume ambaye makazi yake ya kudumu ni Dodoma ili tufanye maisha i really need a family now! . Mimi ni mkristo and I am a...
9 Reactions
75 Replies
10K Views
Habari zenu wanajamvi, Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wanaJF wote, zaidi sana wale walijitokeza nilipotoa tangazo la kutafuta Mr. Right. Napenda kuwataarifu kuwa tumeendelea na mikakati...
10 Reactions
166 Replies
18K Views
Habarini, Nakuja,humu jamvin nahitaj mke, awe na Umri kati ya 20-35,awe hajaolewa,awe amejiajiri/kuajiriwa,atakayekua na mapenz ya dhat nami,awe mkristo,atakayekua tayar kuish nami mahali popote...
0 Reactions
4 Replies
983 Views
Kuna mdada miaka 35 anaitaji mume mtanzania umri wake uwe miaka 45 na kuendelea hata kama ana watoto haina shida ila wasizidi 3, yeye hana mtoto kabila lolote dini yoyote yeye, ni mkristo elimu...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Natafuta mchumba wa kike mkwel ambaye yuko tayari kutunzwa,kupendwa na kujar bila Kuchoka. Yr 29 umri wang. Chagui din,rangi wala kabIla. N Pm kwa maelezo zaid
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari JF, Nimejitokeza jukwaani kutafuta mchumba ambae baadae nitamuoa. Nina miaka 30, mrefu wa wastani na kitaaluma ni mhandisi katika kampuni moja hapa Dar es Salaam pia mkristo. Mchumba...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari, Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 30 Natafuta mwanadada kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi tu(sio ndoa,ni mapenzi tu) Sifa: Awe anaishi kati ya DAR,MORO,TANGA,MOSHI au ARUSHA Awe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 28, naishi Dar es Salaam,sijaoa,ni mwajiliwa,naishi Dar es Salaam,dini yangu mkristu. Nakuja jamvini kuomba urafiki kwa yeyote mwenye sifa kama hizi: Awe...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
naitaji mchumba , umri 23-27. nina miaka 32 mwenye nia ya dhati an Pm na phone no. nipo dar
0 Reactions
14 Replies
2K Views
natafuta mchumba biti wa kiislam mwenye maadili na anae jua dini vizuri awe na umri kuanzia 19 hadi 21 kwa mawasiliano anitafute kupita email yangu husseinomary0@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume nnaejielewa vzuri tu. Natafuta mchumba awe na umri kuanzia 24-30yrs, elimu kuanzia kidato cha nne, awe mkristo na mkazi wa Dar es salaam. Its seriously wanajamvi tuache...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Yule aliye tayari au ana dada yake au jirani yake au anamfahamu tu basi aje pm kwa mazungumzo zaidi. Asanteni
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Nina miaka 25, nahitaji mwanaume(sio wa Dar). Awe na miaka 27_32. Asiwe cheusi mangala, aliye tayari anipm Nb. AWE TAYARI KUPIMA AFYA(HIV/AIDS) na magonjwa mengine
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Kwa jina la jamhuri
0 Reactions
11 Replies
2K Views
deleted,,,seems to be a spam
0 Reactions
26 Replies
3K Views
n
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom