Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
  • Closed
Asalam Alaykum, All praise is to Allah, the most beneficent, the most compassionate, the Sustainer and Cherisher of the Worlds, the Supreme.May His blessings be on Prophet Muhammad (SAW), his...
7 Reactions
62 Replies
22K Views
Habari ya leo! Niko Dar, nafanya kazi, niko single, sina familia, najitegemea, nina miaka 34. Natafuta mchumba mwenye kujiheshimu, anayejua anataka nini maishani mwake, aliye kwenye umri kati ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Am a man having 28 yrs, mwajiriwa goernment, mrefu, mweusi, mpole, mcha Mungu, dume halisi, mwenye uelewa na mahusiano. Binti wa vigezo hivi naoa fast 1) mcha Mungu (christianity) 2)mwenye true...
0 Reactions
0 Replies
982 Views
hivi kweli tekosa marafiki mitaani kwetu???
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Natumaini muwazima .... Natafuta mwanamke nitayeanza nae mahusiano then nimuoe ,..Nina miaka 30, mwanamke asizid miaka 27 ...elimu ya kidato cha nne na kuendelea ....dini kabila rangi sibagui...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 30, sijaoa bado kutokana na vipaumbele vyangu vya sasa; ila napenda niwe na rafiki wa kike wa umri wowote japo awe mrembo kweli. Napenda sana kusikiliza music wa...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Hi all! Nahitaji mkaka yeyote amongst you who is heart-broken,lonely na hajawahi kupata true love katika mahusiano aloingia..Either your gal cheated or left u without any reason or with foolish...
9 Reactions
66 Replies
8K Views
Hi brothers & sisters,i have got an opportunity to work in Mwanza city..due to that am in need of friends to exchange ideas.. both men & women are needed,if your ready plz u can PM Thanks!!
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Namtafuta girl yoyote ambaye kakaa mamtoni kwa miaka anayojua yeye,awe ana mtoto au hana haijalishi as long tukakubaliana tuende next level,....awe UK,nchi za scandanavia au zingine za Asia...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wanajamvi natafuta mwanamke wa kuzaa nae watoto wawili sitaki ndoa, nitamlipa 150 mil tshs. Vigezo awe mwenye mvuto kuanzia sura mpaka shape...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Mimi ni mama wa miaka 32 nafanya kazi kwenye shirika la umma, natafuta marafiki wa kike na kiume wa kuchat nao. Umri kuanzia miaka 32 na kuendelea
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habar ndugu zangu!! mimi na Mwanaumwe mwenye umri wa miaka 30' nimekuwa katika mahusiano lakini yasiyo na manufaa, i mean sio serious relation sababu ya aina ya wasichana wenyewe! Now days wadada...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari zenu? Nina imani kuna wadada wa kutosha humu na wakaka pia mwaweza kunipatia dada zenu.. ..ninahitaji binti mmoja tu anayejitambua na kujiamini.. Nimeshajipanga kimaisha na namuhaidi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha. Sifa; Awe na Umri usiopita miaka 26 Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28 naitaji mke mwenye sifa zifaatazo 1.awe na umri kati ya 20-26 years 2.asiwe mnene sana 3.awe mkristu au aliye tayar kubadili dini 4.elimu angalu form four...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha. Sifa zake: Awe na Umri usiopita miaka 40 Awe na umbo zuri na sura ya...
5 Reactions
350 Replies
29K Views
Kwa aliye tayari kuwa mke anakaribishwa vigezo kama vifuatavyo. awe na elimu atleast form four kazi si lazima awe nayo kabila lolote rangi yoyote umri 20-26yrs Kwa aliye serious aje PM tupate...
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Mimi ni MWANAUME mtu mzima naitwa ROBIE.Kwa heshima kubwa napenda kutafuta mwanamke awe mtu mzima mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi,awe aliyeamua kuishi maisha ya kulinda afya na ambae...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
27-35 pm tuyajenge uwe wangu wife ila usiwe na mtoto.
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Back
Top Bottom