Nahitaji mwanamke wa kuzaa nae tu

Sukari Yenu

JF-Expert Member
Dec 8, 2014
1,698
1,257
Salaam,

Hii iwafikie wanawake na wasichana wote wenye wazo na hitaji kama langu. Mimi ni mwanaume, 28 years of age, living in Mwanza. Nina kazi yangu inayoniingizia kipato na naendesha maisha yangu fairly. Sina watu tegemezi zaidi ni kurudisha fadhila kwa baba na mama tu ambalo ni jambo la kawaida kwa sisi Waafrica.

Katika umri huu sihitaji kuoa wala kuwa na mke. Malengo nitaoa baadae sana lakini nahitaji kuwa na mtoto. Hivyo basi, nimetafakari na kuona namna rahisi na pekee ya mimi ni kutafuta mwanamke atakayekubali kuzaa na mimi kisha alee mtoto akiwa mama mzazi wa mtoto. Nitahudumia kwa kila kitu mama pamoja na mtoto kwa kadri ya hali itakavyokuwa. Kama kutahitajika mkataba wa kisheria nipo tayari kusaini naye.

Nilivyo:
Nipo tayari kupima HIV.
Mweusi
Urefu ft 5 inch 5
Sina matatizo yoyote ya kiafya wala magonjwa sugu. Nipo tayari kupimwa.


Mwanamke ninayehitaji:
*Awe na shughuli halali anayofanya inayomwingizia kipato
*Dini yoyote na yeye ntampa kipaumbele apange dini ya mtoto
*Asiwe mlevi
*Awe tayari kupima HIV na mimba
*Asiwe mke wa mtu
*Umri kuanzia 19 mpaka 40
*Good looking (simaanishi sura)

Mengine tutaelezana pole pole. Only serious people are needed.

Tukutane PM
 
mkuu,, kwani kuna mama bila baba?? kwanin usikubali uitwe MR & MRS flan? ukishazaa tayar huyo n mkeo. La sivo utatapeliw mtoto humu,,,, binti atalala na wew coz hutak ish nae ataenda sex tena na mwenye uhtaji wa kuw baba then utakuw unalea mimba na mtoto halikadhalika mme mwenzio nae analea hivohvo we utakuw baba wa mbali huku unamwaga matumiz mwenzio baba wa karibu anaish na kujua mienendo ya mtot wenu mlie changia,,,, acha uzoba, kubal kuw baba huru.
 
mkuu,, kwani kuna mama bila baba?? kwanin usikubali uitwe MR & MRS flan? ukishazaa tayar huyo n mkeo. La sivo utatapeliw mtoto humu,,,, binti atalala na wew coz hutak ish nae ataenda sex tena na mwenye uhtaji wa kuw baba then utakuw unalea mimba na mtoto halikadhalika mme mwenzio nae analea hivohvo we utakuw baba wa mbali huku unamwaga matumiz mwenzio baba wa karibu anaish na kujua mienendo ya mtot wenu mlie changia,,,, acha uzoba, kubal kuw baba huru.
Usichukulie rahisi kihivyo...nimejipanga.
 
nenda ulaya mkuu huko ndo kuna ndoa ya mkataba ila mwanamke unamlipa kabisa ndo anakuzalia mtoto
 
anapata tena wako wengibhata ukitaka aache mume wake atfanye hivo wako wenye maisha ya dhiki wengibsana hata mie hapa jamaa kapata mwanamke kwa nijlya ya kutangaza hapa na sasa ana mtoto wa miezi4ila matuzi yamekuwa mara dufu gari yakutembekeya nyumba fenecha tayri ila sasa anataka kuoa kabisa nadhani kalumanZirabkafanyabkazi
 
Kama nilivyokwisha kusema, mambo mengine tutajadiliana na muhusika kwa kadri tutakavyoona inafaa. Masuala ya malipo na mambo mengine ni private.

Sipo tayari kupandikiz mbegu hospitali.
 
Basi hautafuti mwanamke wa kuzaa tu.

Bali unatafuta kipoozeo. Kila la heri.
Pita mbali kama huna cha kuchangia. Kuna sababu gani ya msingi mtoto azaliwe kwa njia za kimaabara? Huna tofauti na wanaojifungua kwa operation kisa hawataki kusikia uchungu?
 
Ila utapata tu, lakin mpaka ambaye ana kazi. Au ameajiliwa selikalini. Mfano mdogo tu, kuna watumishi wengi wa Kike tunawaona hawana mme. Ukiangalia umli 33,37,_40.
 
sasa umejitaid kuandika lakin maudhui haya ridishi huko nikumchezea mwanamke unamaanisha mtoto akikua mama asepe
 
Pita mbali kama huna cha kuchangia. Kuna sababu gani ya msingi mtoto azaliwe kwa njia za kimaabara? Huna tofauti na wanaojifungua kwa operation kisa hawataki kusikia uchungu?
Wewe shida yako mtu akubebe mimba ili akuzalie mtoto,au ufanye mapenzi na huyo mtu atakaye kuzalia mtoto?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom